Ku-block mtu Calls za Kawaida

Nikidownload true caller no other operations to be done? Then how na-block the desired number?
Haaa mkuu huwa ukidownload app nani huwa anakuja kukufundisha namna ya kutumia? App zote zipo katika mfumo wa GUI yaani unaangalia unachotaka then una click.

Acha ku-act kama Bashite mkuu:):):)
 
Call namba yake kisha kata, baada ya kukata bonyeza hiyo namba nenda kwenye options utaona imeandikwa blacklist, bonyeza hapo utakuwa umemalizia zoezi lako
 
Kama unatumia android ingia playstore download Easy filter hiyo ndo kiboko yao inablock calls sms mpaka promotion message za airtel,voda tigo n.k hapa nimewablock airtel deni lao la TIMIZA
Maana ninampango wa kulipa sizonje akitoka madarakani 2020
:D:D:D:D
Hahahaha mkuu dawa ya deni ni kulipa aisee.
 
Sasa ikikata mwenye simu si atafikiri kuwa unamkatia simu yake??.........mimi nataka ambayo itamwambia kuwa sipatikani hewani kwa muda huo!
Haitaonyesha such notification Mkuu, zaidi inatoa mlio like ni tatizo la mtandao.
 
Back
Top Bottom