SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Karibu bosa nasubir wengine warahisisheasante sana kwa msaada mkuu
Karibu bosa nasubir wengine warahisisheasante sana kwa msaada mkuu
Inakata kimyakimya haimwambii chochote na wewe unaona miscall yake.Ukimblock mtu akikupigia inamrudishia taarifa gani mkuu?
Sasa yeye si ataamini kwamba unamkatia simu yake makusudi??Inakata kimyakimya haimwambii chochote na wewe unaona miscall yake.
Haaa mkuu huwa ukidownload app nani huwa anakuja kukufundisha namna ya kutumia? App zote zipo katika mfumo wa GUI yaani unaangalia unachotaka then una click.Nikidownload true caller no other operations to be done? Then how na-block the desired number?
Ukishamblock akikupigia yeye anapewa ujumbe gani mkuu?Call namba yake kisha kata, baada ya kukata bonyeza hiyo namba nenda kwenye options utaona imeandikwa blacklist, bonyeza hapo utakuwa umemalizia zoezi lako
The number you are calling is busy..Ukishamblock akikupigia yeye anapewa ujumbe gani mkuu?
Ukishamblock kwa easy filter akikupigia yeye anapewa ujumbe gani mkuu?Easy filter ipo poa sana una select namba unayo taka kuiblock tu
Hahahaha mkuu dawa ya deni ni kulipa aisee.Kama unatumia android ingia playstore download Easy filter hiyo ndo kiboko yao inablock calls sms mpaka promotion message za airtel,voda tigo n.k hapa nimewablock airtel deni lao la TIMIZA
Maana ninampango wa kulipa sizonje akitoka madarakani 2020
Haiiti kabisa, inakuambia haipatikaniUkishamblock kwa easy filter akikupigia yeye anapewa ujumbe gani mkuu?
Nime install iyo easy filter, nkaiblock certain number kujaribu inasema namba inatumikaHaiiti kabisa, inakuambia haipatikani
Ni za kipumbavu tu,mimi nataka nikimblock mtu akinipigia imwambie kuwa sipatikani hewani!Nime install iyo easy filter, nkaiblock certain number kujaribu inasema namba inatumika
Hata mim nataka kitu kama hicho, playstore apps za blacklist nyingi mno but zote hizo anaekupigia atajua tu umemblockNi za kipumbavu tu,mimi nataka nikimblock mtu akinipigia imwambie kuwa sipatikani hewani!
Si kweli inakata tuu haisem kituZote hizi ni za uongo kwa sababu ukimblock mtu kupitia true caller au zile application nyingine kule playstore akikupigia huwa anaambiwa kuwa amekuwa blocked na mwenye simu!!........what the shit!!.........mimi nataka app ambayo nikimblock mtu akinipigia aambiwe kuwa sipatikani hewani!!
Sasa ikikata mwenye simu si atafikiri kuwa unamkatia simu yake??.........mimi nataka ambayo itamwambia kuwa sipatikani hewani kwa muda huo!Si kweli inakata tuu haisem kitu
Haitaonyesha such notification Mkuu, zaidi inatoa mlio like ni tatizo la mtandao.Sasa ikikata mwenye simu si atafikiri kuwa unamkatia simu yake??.........mimi nataka ambayo itamwambia kuwa sipatikani hewani kwa muda huo!