Ku-block mtu Calls za Kawaida

Nchoji

Member
Jul 9, 2013
49
16
Jukwaani tafadhali nawaomba nisaidieni namna ya kuzuia mtu asinipigie kwenye mwito wa simu wa kawaida. Upande wa WhatsApp sina tatizo napo, lakini mwito wa kawaida wa simu sifahamu hatua zinazochukuliwa ili kuzuia mtu asikupigie.

Nawasilisha nikiwa na matumaini makubwa ya kusaidiwa katika hili.
 
Download true caller mkuu
Dah haka ka app kananisaidia sanaa manake nkiwa maeneo matukufu nazitupa namba za manyang'au wenzangu sero naonekana kama mtakatifu papa francesco di sete.Halafu usishau na ile truemassanger zote useful
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Dah haka ka app kananisaidia sanaa manake nkiwa maeneo matukufu nazitupa namba za manyang'au wenzangu sero naonekana kama mtakatifu papa francesco di sete.Halafu usishau na ile truemassanger zote useful
Massanger inasaidiaje
 
Haina haja ya kuzunguka sana, unapoteza MBs za bure, ku-block all incoming calls, nenda call setting, halafu barring, halafu incoming calls, weka password yenye tarakimu nne, mchezo umekwisha.
 
Haina haja ya kuzunguka sana, unapoteza MBs za bure, ku-block all incoming calls, nenda call setting, halafu barring, halafu incoming calls, weka password yenye tarakimu nne, mchezo umekwisha.
Mkuu hapo kwa barring password n zp napahitaj sn if posbo npe maujanjaa
 
Jukwaani tafadhali nawaomba nisaidieni namna ya kuzuia mtu asinipigie kwenye mwito wa simu wa kawaida. Upande wa WhatsApp sina tatizo napo, lakini mwito wa kawaida wa simu sifahamu hatua zinazochukuliwa ili kuzuia mtu asikupigie.

Nawasilisha nikiwa na matumaini makubwa ya kusaidiwa katika hili.
Ingia playstore/app store tafuta application ya True caller ina option ya kublock messages na Calls..Hii app nzuri sana
 
Back
Top Bottom