Ku-block mtu Calls za Kawaida

Ku-block mtu Calls za Kawaida

Jukwaani tafadhali nawaomba nisaidieni namna ya kuzuia mtu asinipigie kwenye mwito wa simu wa kawaida. Upande wa WhatsApp sina tatizo napo, lakini mwito wa kawaida wa simu sifahamu hatua zinazochukuliwa ili kuzuia mtu asikupigie.

Nawasilisha nikiwa na matumaini makubwa ya kusaidiwa katika hili.
Kama unatumia android ingia playstore download Easy filter hiyo ndo kiboko yao inablock calls sms mpaka promotion message za airtel,voda tigo n.k hapa nimewablock airtel deni lao la TIMIZA
Maana ninampango wa kulipa sizonje akitoka madarakani 2020
😀😀😀😀
 
Mkuu hapo kwa barring password n zp napahitaj sn if posbo npe maujanjaa
Tatizo la barring Ni kwamba utazuia calls zote na SMS.

Faida za true caller App Ni kuwa utachagua baadhi ya namba ambazo hutataka zikupate na unaweza kuzuia any new namba ambayo haiko saved kwa phone book yako.

Baadhi ya simu mfano iPhone naipendea hapo yenyewe unaweza block namba flan tu huku nyingine zikiendelea kuwepo au unaweza kuzima data kwa baadhi ya Application huku nyingine ukiendelea kuzitumia.

Unaweza usionekane WhatsApp an Facebook at a same time unaendelea kuperuzi jf jukwaa la wakubwa[emoji12]
 
Tatizo la barring Ni kwamba utazuia calls zote na SMS.

Faida za true caller App Ni kuwa utachagua baadhi ya namba ambazo hutataka zikupate na unaweza kuzuia any new namba ambayo haiko saved kwa phone book yako.

Baadhi ya simu mfano iPhone naipendea hapo yenyewe unaweza block namba flan tu huku nyingine zikiendelea kuwepo au unaweza kuzima data kwa baadhi ya Application huku nyingine ukiendelea kuzitumia.

Unaweza usionekane WhatsApp an Facebook at a same time unaendelea kuperuzi jf jukwaa la wakubwa[emoji12]
Wakubwa kichwani tu.
 
Tatizo la barring Ni kwamba utazuia calls zote na SMS.

Faida za true caller App Ni kuwa utachagua baadhi ya namba ambazo hutataka zikupate na unaweza kuzuia any new namba ambayo haiko saved kwa phone book yako.

Baadhi ya simu mfano iPhone naipendea hapo yenyewe unaweza block namba flan tu huku nyingine zikiendelea kuwepo au unaweza kuzima data kwa baadhi ya Application huku nyingine ukiendelea kuzitumia.

Unaweza usionekane WhatsApp an Facebook at a same time unaendelea kuperuzi jf jukwaa la wakubwa[emoji12]
Truecaller nimetumia lakini hai-block calls mbali ina abort(inakata)
Yaani aliyekupigia simu itaita kwa sekunde kazaa then Truecaller inaikata kwa kifupi aliyekupigia atajua simu yake umeikata!
In short haina tofauti na simu ilioingia then ukaikata tofauti yake ni yenyewe inakusaidia kuzikata automatic
 
Truecaller nimetumia lakini hai-block calls mbali ina abort(inakata)
Yaani aliyekupigia simu itaita kwa sekunde kazaa then Truecaller inaikata kwa kifupi aliyekupigia atajua simu yake umeikata!
In short haina tofauti na simu ilioingia then ukaikata tofauti yake ni yenyewe inakusaidia kuzikata automatic
Nyanda Ngosha255 ni kweli kuwa True ina abort calls an caller ataona tu imekatika na receiver atakuta tu ki notification kuwa alipigiwa.

The best App ni Easy filter... Yenyewe mpigaji atapata tu kile kimlio "tululuuu" like mtandao unasumbua while aliyepigiwa hata pata any kind of notifications.
 
Nyanda Ngosha255 ni kweli kuwa True ina abort calls an caller ataona tu imekatika na receiver atakuta tu ki notification kuwa alipigiwa.

The best App ni Easy filter... Yenyewe mpigaji atapata tu kile kimlio "tululuuu" like mtandao unasumbua while aliyepigiwa hata pata any kind of notifications.
Hilo ndio lilikuwa tatizo langu toka kitambo!
Hiyo true caller inaleta lawama baadae kwasababu yeye kile simu itaita baadae inakua kama user busy!
Kwahiyo MTU anaweza jua unamkatia kwa makusudi!
Ngoja nijaribu hiyo yako mkuu nitarudi kuleta mrejesho!
 
Nyanda Ngosha255 ni kweli kuwa True ina abort calls an caller ataona tu imekatika na receiver atakuta tu ki notification kuwa alipigiwa.

The best App ni Easy filter... Yenyewe mpigaji atapata tu kile kimlio "tululuuu" like mtandao unasumbua while aliyepigiwa hata pata any kind of notifications.
Mkuu mbona na hii easy filter ndio Yale Yale!
Inaita kwanza then ina cancel halafu namba unayoipigia anaongea na simu nyingine
 
Mkuu mbona na hii easy filter ndio Yale Yale!
Inaita kwanza then ina cancel halafu namba unayoipigia anaongea na simu nyingine
Mkuu for both easy filter an true caller check your setting ipo sehemu ambayo unaruhusu kupokea notifications or not from blocked calls.
 
Mkuu mbona na hii easy filter ndio Yale Yale!
Inaita kwanza then ina cancel halafu namba unayoipigia anaongea na simu nyingine
kuzuia simu zote zisiingie bonyeza *35*0000# Kisha piga. Na kujitoa bonyeza #35*0000# kisha piga
 
Add to reject list. Hatoweza kukupata tena... Akipiga haiingii inakata hukohuko juu kwa juu
 
Haina haja ya kuzunguka sana, unapoteza MBs za bure, ku-block all incoming calls, nenda call setting, halafu barring, halafu incoming calls, weka password yenye tarakimu nne, mchezo umekwisha.
Sasa hapo si utablock simu zote mkuu, nadhani nzuri ni ku block number ya mhusika tu kwenye call logs ila hii option ipo kwa baadhi ya androids tu sio zote. Mi yangu inafanya hio bila kwenda call barring wala sihitaji 3rd party app kama truecaller au callblocker. Namtia detention kiumbe yeyote as i wish
 
Tatizo la barring Ni kwamba utazuia calls zote na SMS.

Faida za true caller App Ni kuwa utachagua baadhi ya namba ambazo hutataka zikupate na unaweza kuzuia any new namba ambayo haiko saved kwa phone book yako.

Baadhi ya simu mfano iPhone naipendea hapo yenyewe unaweza block namba flan tu huku nyingine zikiendelea kuwepo au unaweza kuzima data kwa baadhi ya Application huku nyingine ukiendelea kuzitumia.

Unaweza usionekane WhatsApp an Facebook at a same time unaendelea kuperuzi jf jukwaa la wakubwa[emoji12]

Mkuu naomba unisaudie hiyo maujanja ya kwenye iPhone nnayo nizuie makero ya mitandao mingine. Natanguliza shukrani.
 
Mkuu naomba unisaudie hiyo maujanja ya kwenye iPhone nnayo nizuie makero ya mitandao mingine. Natanguliza shukrani.
Mkuu omosacha kama una iPhone nenda kwenye call setting itakupeleka sehemu ya kukuwezesha kublock baadhi ya namba au from deal list hold ile namba unayotaka kuiblock utaona inakupa such option.
 
Download true caller mkuu
Zote hizi ni za uongo kwa sababu ukimblock mtu kupitia true caller au zile application nyingine kule playstore akikupigia huwa anaambiwa kuwa amekuwa blocked na mwenye simu!!........what the shit!![emoji32][emoji32][emoji32].........mimi nataka app ambayo nikimblock mtu akinipigia aambiwe kuwa sipatikani hewani!!
 
Back
Top Bottom