Kozi zipi za ziada unaweza soma wakati unachukua degree ya udaktari?

Udaktari na ualimu soon tofauti yao itakua ni majengo tu..mana kazi zitakosa kwakua mko wengi na mnazidi kujazana kitaa..chamsingi anza kutafuta mishe zingine tofauti kama biashara na konekisheni kubwa kubwa..tofauti na hapo utarudi kitaa kusugua bench.

#MaendeleoHayanaChama
Ualimu ni sekta kubwa sana huwezi linganisha na hospitali. Wafanyakazi wa hospitali ya wilaya wote ni sawa na wafanyakazi wa shule 10 tu.
Kuna mashule mangapi yanajengwa kila leo ?
Shida ya ualimu ni kooato sio kipata kazi kwa mtu mjanja.
Bado ualimu unafursa za kujiajili nyingi kuliko udaktari.
Udaktari ni fani yenye heshima basi.
 
Wakirudi mtaani halafu wasitoboe itakuwaje? au ukiwa mtaani ku win ni must? Washauri vizuri mkuu kana wewe ni daktari vipi wanaweza kufanya wapaye kazi hali kadhaloka wawe na kipato kikubwa.
Binafsi huwa naiona fani ya udaktari kama haiuziki nje ya kuajiliwa hospitali au pary time what else can one do to earn money ?
Daktari usitamani pesa hio ni kazi ya wito utauza figo za watu!
Mkuu ukisoma post yangu ya kwanza kabla ya hii uliyo quote, nilimshauri aachane na chuo ingali mapema kabisa afanye mengine mtaani maana huo udaktari utakuja kumpa stress hatokaa akasahau

Well, sio lazima akirudi mtaani lazima atatoboa, lakini akija mtaani sasa hivi akachagua kimoja akaanza kupiga, hiyo miaka atakayowaacha wenzie mpaka waje wamalize na intern yeye lazima atakua hatua fulani ameshazipiga, kuliko asubiri amalize halafu aje aanze from the sratch kama hajawahi kusoma vile!!

Mimi nimesoma pia hizo kozi wanazoita za Afya, so ninachokiandika Nina uhakika nacho, na mpaka sasa michongo sina nipo napiga mishe ambazo wanafanya hata ambao hawajawahi kusoma!!

Asante!!
 
Back
Top Bottom