Kozi zipi za ziada unaweza soma wakati unachukua degree ya udaktari?

kwa upande wangu naona kama muda unao wa kutosha tafuta short course hasa kwa vitu unavyoona we mwenyew vitakusaidia kwa namna moja ama nyingine wakati wa kazi au hata kam ujapata kazi baada ya kumaliza.

Mimi pia nasoma udaktari ila nasoma short course ya graphic design na nitaendelea hata long course nikimliza kusoma udktr. lengo nifnye technology huk pia ni dktr najua sitaweza kukosa cha kufnya nikimaliza kusoma

ko cha msingi ni ww mwenye kuona unataka uwe vipi, cuz hakuna mtu atakae weza kukuambia usome kitu kwa passion yake sio yake, mfn siwez nikuambie usome graphic wakt hatjua jinsi ya kuitumia
Sasa mkuu nawewe ilitakiwa usomee kompyuta ndio kitu unachokipenda huko sijui ulikimbilia kufanya nini. 😂😂😂😂. Ngoja umalze utupiwe porini huko hakuna hata umeme wa kuwashia kompyuta.
 
Habari wadau,mimi ni binti wa mwaka wa pili wa degree ya udaktari.Kipindi chote cha masomo wakati nipo mwaka wa kwanza nilikuwa na hili swali Ila nimekosa jibu lake nikaona vyema nije kuuliza kwa yeyote mwenye kujua anipe muongozo.

Hivi ni short courses gani naweza fanya hata kwa muda wangu wa ziada nikiwa chuoni ambazo ni nzuri na zitanipanua zaidi kiakili au hata kunipa fursa nyingi zaidi nikimaliza miaka yangu mitano ya udaktari.
short course ni nzuri katika dunia hii inayoendelea kwa sababu hapa unabeba ujuzi tofauti na ule uliyokupeleka chuo kikuu, cha msingi angalia unapendelea nini na unataka ufanye ili uwe na ujuzi gani lakini kuwa makini na maisha ya chuo usipo angalia unaweza ukageuka kuwa motivation speaker walio pitia kada ya afya nadhani wanajua mambo ni si mepesi ni heri hiyo short course ikawa linkage to the program that you study.
 
short course ni nzuri katika dunia hii inayoendelea kwa sababu hapa unabeba ujuzi tofauti na ule uliyokupeleka chuo kikuu, cha msingi angalia unapendelea nini na unataka ufanye ili uwe na ujuzi gani lakini kuwa makini na maisha ya chuo usipo angalia unaweza ukageuka kuwa motivation speaker walio pitia kada ya afya nadhani wanajua mambo ni si mepesi ni heri hiyo short course ikawa linkage to the program that you study.
Shukran sana na ubarikiwe
 
Habari wadau,mimi ni binti wa mwaka wa pili wa degree ya udaktari.Kipindi chote cha masomo wakati nipo mwaka wa kwanza nilikuwa na hili swali Ila nimekosa jibu lake nikaona vyema nije kuuliza kwa yeyote mwenye kujua anipe muongozo.

Hivi ni short courses gani naweza fanya hata kwa muda wangu wa ziada nikiwa chuoni ambazo ni nzuri na zitanipanua zaidi kiakili au hata kunipa fursa nyingi zaidi nikimaliza miaka yangu mitano ya udaktari.
Kama unapata mkopo hakikisha una save not less than 300,000 per semister na mpaka umalize chuo utakua na not less than 3mil! Huu ndio utakua msingi wako ukimaliza chuo.
 
Bado hamjaanza kwenda cadava?? Mda wa ziada unaopata jaribu kusoma vitabu mbalimbali vya kuongeza maarifa tu. Ila kusema uongeze course ya ziada utakufa mdogo angu, mana hapo hujakumbana na parasitology, microbiology, pharmacology na ma course mengine mazito. Atleast mwaka wa nne na wa tano unaeza ukabalance muda after clinical sessions ukasoma hata ujasiriamali. Ila kwa mwaka wa pili na tatu better ukazama kutafuta GPA tu,. Ukipata muda pia pitia hata course za first yr kama gazeti ili kuimarisha uelewa wako maana n applicable sana kwa clinical rotations..

Nawasilisha
 
Udaktari na ualimu soon tofauti yao itakua ni majengo tu..mana kazi zitakosa kwakua mko wengi na mnazidi kujazana kitaa..chamsingi anza kutafuta mishe zingine tofauti kama biashara na konekisheni kubwa kubwa..tofauti na hapo utarudi kitaa kusugua bench.

#MaendeleoHayanaChama
 
  • Thanks
Reactions: p2k
Udaktari na ualimu soon tofauti yao itakua ni majengo tu..mana kazi zitakosa kwakua mko wengi na mnazidi kujazana kitaa..chamsingi anza kutafuta mishe zingine tofauti kama biashara na konekisheni kubwa kubwa..tofauti na hapo utarudi kitaa kusugua bench.

#MaendeleoHayanaChama
Aisee umeongea kitu kikubwa sana........yaan 80% ya wanafunzi waliopo vyuoni ni madaktari....yaan ni wengi sana siku hizi.......hawa madaktari.......mtoa mada namtakia kila la kheri kwa wazo lake zuri na MUNGU amsaidie atimize hiki maana mtaani huku hali mbaya mno.
 
Aisee umeongea kitu kikubwa sana........yaan 80% ya wanafunzi waliopo vyuoni ni madaktari....yaan ni wengi sana siku hizi.......hawa madaktari.......mtoa mada namtakia kila la kheri kwa wazo lake zuri na MUNGU amsaidie atimize hiki maana mtaani huku hali mbaya mno.
Now days bora usome maabara kuliko udaktari..fursa zimeisha wamekua wengi na wanazidi kuwa wengi...vijiwe wanagombaniana na kuwekeana chuki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Now days bora usome maabara kuliko udaktari..fursa zimeisha wamekua wengi na wanazidi kuwa wengi...vijiwe wanagombaniana na kuwekeana chuki.

#MaendeleoHayanaChama
Watakupiga mawe.......ooohoo.......ngoja wakusikie....vijana wanavyopenda kuitwa madoctor......ahaaa
 
Watakupiga mawe.......ooohoo.......ngoja wakusikie....vijana wanavyopenda kuitwa madoctor......ahaaa
Waende tu ila hakuna maisha tena huko..tunao wengi kitaa wanasugua benchi kila siku kutupiga vizinga.

#MaendeleoHayanaChama
 
kwa upande wangu naona kama muda unao wa kutosha tafuta short course hasa kwa vitu unavyoona we mwenyew vitakusaidia kwa namna moja ama nyingine wakati wa kazi au hata kam ujapata kazi baada ya kumaliza.

Mimi pia nasoma udaktari ila nasoma short course ya graphic design na nitaendelea hata long course nikimliza kusoma udktr. lengo nifnye technology huk pia ni dktr najua sitaweza kukosa cha kufnya nikimaliza kusoma

ko cha msingi ni ww mwenye kuona unataka uwe vipi, cuz hakuna mtu atakae weza kukuambia usome kitu kwa passion yake sio yake, mfn siwez nikuambie usome graphic wakt hatjua jinsi ya kuitumia
Kwa hio hamjiamini na mnachosoma kuwa kitawalipa.
Kwanza mna bahati mbaya vyuo vyenu vya afya vitengwa na kozi nyinngine nyingi kuna vyuo ukiwepo pale chuo una amua u opt kozi unayoitaka au unaingia hata bila kijisajili hio kozi unsoma unachokitaka.
Poleni mlienda kusoma kwa kufuata mkumbo.
 
Kutokana na anachokisoma ni ngumu kugawa muda kusimamia biashara na kusoma

Hauwezi kuwa unawaza Microbiology, Surgery, Internal Medicine, OBs halafu huo huo muda uanze kuwaza biashara, lazima kimoja kikushinde

Na ukitegemea hizi ajira ni upumbavu tupu, na anaposoma saizi ana hope kuwa hiyo kozi itamtoa, ingawaje uhalisia sio huo kabisa

Akimaliza ataanza kuwaza biashara za watu wanaofanya wenye elimu ya form four, so ni bora tu ajikate mapema akaanze kuzoea kabla hajaja kujuta

Kikubwa tu mdogo wangu huyu, na wewe pia mdogo wangu, ukiamua kuisoma hiyo MD toa kabisa mawazo ya kupata ajira na maisha mazuri baada ya kumaliza, mambo kwa ground hayapo hivo kabisa

Someni huku mkijua mtarudi mtaani kuteseka kama hauna CONNECTION, vinginevyo rudini mtaani mapema muuzoee mtaa kabla hamjapotezewa muda wenu na shule

Asante!!!
Wakirudi mtaani halafu wasitoboe itakuwaje? au ukiwa mtaani ku win ni must? Washauri vizuri mkuu kana wewe ni daktari vipi wanaweza kufanya wapaye kazi hali kadhaloka wawe na kipato kikubwa.
Binafsi huwa naiona fani ya udaktari kama haiuziki nje ya kuajiliwa hospitali au pary time what else can one do to earn money ?
Daktari usitamani pesa hio ni kazi ya wito utauza figo za watu!
 
Back
Top Bottom