Kwa hiyo wewe Lumumba buku7 hujui maana ya cfundi mchundo' ?Ahaaa,kiswahili kingine kinatisha,eti kuna ufundi"mchundo"
Nianze na hii, hapa gharama zake zimekaaje?Udereve pia uko vizuri
Achana kabisa na ndoto za kusoma ili kuja kuajiriwa, hizo zama hapa Tanzania hazipo tena. Nina uhakika na hizi kozi tatu za Veta za ufundi ukisoma uwezekano wa kujiajiri upo kwa zaidi ya 90%.
1. Ushonaji (Tailoring).
2. Uwashi (Building/Civil).
3. Useremala (Carpentry)
Chuo hiki kipo wapi na ada zake ziko vipiMkuu nnapofanya kazi kuna chuo cha VTC, kipo chini ya veta, na kuna baadhi ya masomo nafundisha. Fani 3 ambazo sijaona wanaomaliza wahangaike ni umeme (EL), mechanics (MVM) na ujenzi (MB)
Kinaitwa Mgulani Vocational Training College, kipo chini ya VETA. Mahali kilipo ni ndani ya Mgulani JKT. Ntakupigia picha fomu yao kujiunga kisha ntaiweka hapa jukwaani, ina maelekezo yoteChuo hiki kipo wapi na ada zake ziko vipi