james96
Member
- Apr 24, 2015
- 58
- 14
habari za kazi wana jf
mm nilihitimu kidato cha nne 2014 ila sikubahatika kwenda shule tokana na matatizo ya kifamilia ila matokeo yangu yalikuwa kama ifuatavyo:
chemistry-c
biology - c
physics-c
math-e
english-b
kiswahili-b
history-b
geography-c
civics-c
je naweza somea kozi za afya?
kozi ipi ni nzuri kwangu?
japo mm binafsi napenda sana clinical medicine je naweza somea hiyo?
nataraji majibu na ushauri mzuri toka kwenu na mungu awabariki?
mm nilihitimu kidato cha nne 2014 ila sikubahatika kwenda shule tokana na matatizo ya kifamilia ila matokeo yangu yalikuwa kama ifuatavyo:
chemistry-c
biology - c
physics-c
math-e
english-b
kiswahili-b
history-b
geography-c
civics-c
je naweza somea kozi za afya?
kozi ipi ni nzuri kwangu?
japo mm binafsi napenda sana clinical medicine je naweza somea hiyo?
nataraji majibu na ushauri mzuri toka kwenu na mungu awabariki?