Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Mwaka huu kuna ufadhili Wa masomo ya afya?..mfano ngazi ya certificate of nursing etc
 
ndo uelewa wako ulikoishia hapo jmn kweli tanzania kazi ipo dah
Kama unaona kiswahili ulicho andika kipo sawa basi nikuache tu
Tofautisha lugha ya kuchatia na lugha ya kuwasiliana na jukwaa kama hili
 
diploma ,Lakini itabidi ukimaliza uunganishie na degree.
 
Naomba kushquriwa juu mtu akitaka kusomq kozi kati ya hizo mbili ipi utamshauri na kwann? hlf mishahara yake kwa anqyefahamu kwa ngazi yq serikali naomba aniambie

dogo hebu tulia uandike vizuri hizo q,q ndio nini.?halafu soma kwanza kuhusu mshahara utajua baadae fikia kwanza malengo yako.
 
Zote ni nzuri na mishahara yake ni mizuri
 
acha upumbavu wako wa fikra mdogo wangu,wewe bado dogo sana umemaliza form mwaka jana tu halafu unakuja kujibizana na wakubwa zako,kuwa mpole uelekezwe usaidiewe sisi wengine madokta hapa tena specialist.
cert&dip ndani ya miaka 2 wanasoma pamoja wanasoma masomo sawa.baada ya miaka 2 cert anakuwa amehitimu kozi yake ila diploma anaendelea anamalizia mwaka wake mmoja.
kama mtu wa cert akitaka aendelee na diploma itamchukua mwaka 1 tu kuhitimu dip yake.
NB:Na mtu wa dip hawezi kuendelea na dip yake mpka awe amefaulu vizur cert.umeelewa mdogo wangu?usipende kukurupuka bila fact
hapo nimekusoma mkuu.hivi kumbe mtu anaweza akasoma diploma na certificate kwa pamoja?
 
acha upumbavu wako wa fikra mdogo wangu,wewe bado dogo sana umemaliza form mwaka jana tu halafu unakuja kujibizana na wakubwa zako,kuwa mpole uelekezwe usaidiewe sisi wengine madokta hapa tena specialist.
cert&dip ndani ya miaka 2 wanasoma pamoja wanasoma masomo sawa.baada ya miaka 2 cert anakuwa amehitimu kozi yake ila diploma anaendelea anamalizia mwaka wake mmoja.
kama mtu wa cert akitaka aendelee na diploma itamchukua mwaka 1 tu kuhitimu dip yake.
NB:Na mtu wa dip hawezi kuendelea na dip yake mpka awe amefaulu vizur cert.umeelewa mdogo wangu?usipende kukurupuka bila fact
kutukana naweza mno....ila busara ndo msingi wa maisha yangu...nashukuru sana mi mpumbavu...!!!
ila kwa uelewa wangu MTU wa certificate let say clinical mdcn ili asome diploma kwa mwaka mmoja inabidi awe na GPA 3.5....na kuendelea!!!!
kheri ya mpumbavu kuliko mkosa busa ra!!!nimemaliza form 4 mwaka 2003
 
Back
Top Bottom