Kozi ipi ya Art ina soko kwa level ya diploma?

Shugu4272

New Member
May 10, 2024
4
3
Wakubwa samahani,

Mimi nimemaliza form four mwaka 2023 na nimepata division 2 point 20 nataka kwenda chuoni moja kwa moja. So Nilikuwa naomba mnijuze kozi za art ambazo soko lake la ajira sio gumu.
 
Points zako zimekaaje?
Soko la ajira ni gumu haijalishi utachukuwa kozi gani, Hata kozi utakayoshauriwa hapo hautakuwa peke yako. Kikubwa wee angalia kozi ipi unaweza kuimudu na unahisi walau unaweza kufanya kitu kuliko kutegemea 100% uajiriwe, Kwa upande wa arts mi nashauri sana upitie tu advance (Kama utaweza) alafu chuo ukaanze Bachelor moja kwa moja
Ila ningependa kuona points zako pia.
 
Points zako zimekaaje?
Soko la ajira ni gumu haijalishi utachukuwa kozi gani, Hata kozi utakayoshauriwa hapo hautakuwa peke yako. Kikubwa wee angalia kozi ipi unaweza kuimudu na unahisi walau unaweza kufanya kitu kuliko kutegemea 100% uajiriwe, Kwa upande wa arts mi nashauri sana upitie tu advance (Kama utaweza) alafu chuo ukaanze Bachelor moja kwa moja
Ila ningependa kuona points zako pia.
Eng_c,,,, kisw_ B,,,,,civics_C,,,,,geo_D,,,,,Hist_D,,,,,Bio_C,,,,,chem_D,,, physics nilikuwa sisomi akukuwa na ticha
 
Back
Top Bottom