Comrade Elishama
Member
- Jul 8, 2022
- 17
- 12
Habari wanajukwaa,
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D
Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu gani nisomee chuo kikuu ukizingatia ufaulu mkubwa wa mwaka huu kozi kama Pharmacy, MD, Medical Lab, na Nursing.
Zina compitation kubwa saana naombeni ushauri wenu katika kozi zingine ambazo nina vigezo vya kusomea zenye soko la ajira.
Na nikisoma kozi hizo nitafanya kazi gani baadae
Naombeni ushauri wenu wakubwa wangu asanteni
Mungu awabariki.