Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,977
- 32,385
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.
Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi
Source:Kova
Update:.....................
Inawezekana ponda wanamuogopa inawezekana asikamatwe wala (kuguseswa)
more to follow
Bandugu naombeni msaada wenu nimefungua kamusi zote nimekwama nini maana ya (Kuguseswa) au mtoto anajifunza kuandika.