Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Hivi hawa bongo movie hawahaona kova anafaa kuwa msanii mwenzao eti?
......
Tena akicheza scene moja na Wema Sepetu.!
Hivi hawa bongo movie hawahaona kova anafaa kuwa msanii mwenzao eti?
......
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Suleimani Kova, amedai kuwa kutekwa na kuumizwa vibaya kwa Mwandishi nguli na Mhariri wa New Habari,Absalom Kibanda, si tukio la kihalifu. Kamanda Kova amedai kuwa tukio hilo limetokana na chuki na kulipiziana visasi.
Hii ni kwasababu waliomteka na kumshambulia Kibanda hawakuchukua kitu chochote toka kwake. Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa za uchunguzi wa awali wa jeshi la polisi juu ya tukiohilo lililotokea jana,
Kwahiyo kutekwa na kushambuliwa si uhalifu? Nani anaweza kumwamini Kova aliyewahi 'kuwasha' sinema ya Dr.Ulimboka na anayeshindwa kuizima hadi sasa?
.......
Kwa maelezo aliyotoa kamanda Kova kuwa kitendo cha kushambuliwa Kibanda kuwa si cha kihalifu, bali ni kitendo cha chuki binafsi na kulipizana kisasi, ni lazima kwa maelezo hayo, kwa kuzingatia sheria ya ushahidi, Kova anapaswa, awe mtu wa kwanza kutoa maelezo hayo, kwa hiyo Tume aliyoiunda, ili atoe clues za kupatikana wahalifu hao, kwa kuwa inaonekana anawafahamu!Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Suleimani Kova, amedai kuwa kutekwa na kuumizwa vibaya kwa Mwandishi nguli na Mhariri wa New Habari,Absalom Kibanda, si tukio la kihalifu. Kamanda Kova amedai kuwa tukio hilo limetokana na chuki na kulipiziana visasi.
Hii ni kwasababu waliomteka na kumshambulia Kibanda hawakuchukua kitu chochote toka kwake. Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa za uchunguzi wa awali wa jeshi la polisi juu ya tukiohilo lililotokea jana,
Kwahiyo kutekwa na kushambuliwa si uhalifu? Nani anaweza kumwamini Kova aliyewahi 'kuwasha' sinema ya Dr.Ulimboka na anayeshindwa kuizima hadi sasa?
Hivi hawa bongo movie hawahaona kova anafaa kuwa msanii mwenzao eti?
aongee vizuri naye isije ikawa katapeli pesa za watu, halafu anasingizia polisi!. ni hisia zangu tu!kibanda mwenyewe kasema afande alihusika kwani alitaka kumshut ikagoma vile.
Source. Mwananchi page 3
Tuanze kuchambua maana ya uhalifu, uhalifu ni tendo lolote ambalo ni uvunjaji wa sheria. Anaposema kutekwa na kuumizwa kwa Absalom Kibanda si tukio la kihalifu nadhani amekosea ulimini, alitakiwa si tukio la kijambazi. Jambazi huwa analengo la kupora lakini kwa tukio hili haikuwa hivyo. Kwa maana hii tukio linakuwa na definition nyingine lakini ni UHALIFU TU.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Suleimani Kova, amedai kuwa kutekwa na kuumizwa vibaya kwa Mwandishi nguli na Mhariri wa New Habari,Absalom Kibanda, si tukio la kihalifu. Kamanda Kova amedai kuwa tukio hilo limetokana na chuki na kulipiziana visasi.
Hii ni kwasababu waliomteka na kumshambulia Kibanda hawakuchukua kitu chochote toka kwake. Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa za uchunguzi wa awali wa jeshi la polisi juu ya tukiohilo lililotokea jana,
Kwahiyo kutekwa na kushambuliwa si uhalifu? Nani anaweza kumwamini Kova aliyewahi 'kuwasha' sinema ya Dr.Ulimboka na anayeshindwa kuizima hadi sasa?
Tunakumbuka hadi leo video iliyowekwa hewani na kova mwenyewe, ila kwa vile hakuizima na ameona watanzania waliipenda basi ameamua kuwasha PART TWO ya vieo hiyo ya kisa na mkasa wa aina ile ile. Ilikuwa mara kichaa, mara mwehu, mara Mkenya ndo anayehusika.
Hii ni dhahiri ya Serikali halisi tuliyokuwa nayo madarakani. Ninaamini mwonekano wa baba ndo mwonekano wa familia. Uasi, uovu, utekaji, unyanyasaji, udini, visasi, mateso ni sura halisi ya utawala na watawala wa sasa na hakuna haja ya kutofautisha na wao kwa matukio halisi yanayojili.
Inasikitisha na kukera sana mabo ya ajabu haya kutokea.
Sio Mtendaji sema sabu Mkuu wa kaya anambeba undugulazation ndio basi tena!