Waandishi wa habari wanatakiwa kutusaidia kwa kuwabana hawa viongozi na kauli zao za ajabu. Maana ya ualifu ni nini Kama kutekwa, kusulibiwa au kuchukua sheria mkononi si ualifu! Pia waandishi kila siku wanakubali kuigwa na kuelezwa uundwaji wa kamati au timu za upelelezi na maneno makali kila litokeapo tukio lakini matokeo ya uchunguzi hawaitwi kuelezwa. Kwa nini wasimuulize?
Vipi mkuu hujui kabla ya kuwageuka waandishi hawa hawa walinunuliwa? Waandishi wenyewe wamegawanyika na makanjanja ndio wameshika hatamu. Subiri uone. Wengi wao wamehasiwa akili zao. Kama uongo waone wale wanaokula na kulala kwa kodi zetu.
Dhambi hii haiwabakizi ngo