Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
What's wrong with this dude?
Kwahiyo Police ndani ya masaa machache wameshafanya uchunguzi na wameshapata majibu!!
Kwahiyo hao wahalifu wako wapi? wamekamatwa? kama hawajakamatwa, hiyo conclusion kaitoa wapi?
Ni hypothesis au ni kitu gani?
Upuuzi mwingine unaambukiza nafikiri. Wameambukizwa na Mpuuzi Mkuu.
Kwahiyo Police ndani ya masaa machache wameshafanya uchunguzi na wameshapata majibu!!
Kwahiyo hao wahalifu wako wapi? wamekamatwa? kama hawajakamatwa, hiyo conclusion kaitoa wapi?
Ni hypothesis au ni kitu gani?
Upuuzi mwingine unaambukiza nafikiri. Wameambukizwa na Mpuuzi Mkuu.