Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu....
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.