#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
How did you arrived on the figure brother?Mkokotoa wako utawasaidia wengi hasa akifanya cummulative expenditure analysis kwa warembo kuanzia outing,airtime,shopping,birthday ceremonies,suprising gifts, vacations ,picnic etc.#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
Itabidi usimhame mshauri wako wa Marketing Strategy
Ni kiboko aisee
^^
Kila nikifuatilia thread zako,,huwa nina mashaka sana kuchangia.
^^
#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa
na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani
toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini
naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
"Kula uliwe" Jakaya Khalfaan Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na soon Comoros.
????!!
#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
mmmh! kama unajitangaza vile kwamba wewe unazo na unajua kuhonga! sawa mkuu utapata PM za watafuta ngawira maana watu mna penetration strategies mbali mbali.
Wacha wewe ujinga hiyo pesa gani unajigamba nayo miaka yote hiyo hujakutana na wachunaji ungeuza mpaka pk. I
Kwani hao mademu baada ya kuwalipa huwa wote wanakukimbia yaani hupati kile kilichofanya uwahonge? Kama unapata kwa nini ujilaumu kwa chakula ambacho umekula? Hayo ndo maisha. Pengine ungeshakufa kwa presha kama si hao mademu kukupoza moyo!!