Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
Itabidi usimhame mshauri wako wa Marketing Strategy
Ni kiboko aisee
Itabidi usimhame mshauri wako wa Marketing Strategy
Ni kiboko aisee
^^
Kila nikifuatilia thread zako,,huwa nina mashaka sana kuchangia.
^^
una matatizo ya akili
Itabidi usimhame mshauri wako wa Marketing Strategy
Ni kiboko aisee
#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
mbona ndogo sana kwa miaka 4 mi kuna mtu alinilipia ada ya chuo kwa miaka mitatu,hela ya matumizi kwa miaka mitatu na mashoping yote akicmamia yy mimi pk angu ilomcost km million 40 na still nikamtosa apo cjui wenzangu walikula sh ngapi
Endelea kubaki na mashaka watu kama nyinyi hata Mungu hawapendi wenye mashaka
Mwenyewe nimekuwa interested na hiyo 25grand.