Ponda anaonewa, anachofanya Ponda kuchochea udini na kuwagawa Watanzania ni kinyume cha sheria lakini Islamist clerics wanayafanya haya kiiiiiila siku na hakuna anaekamatwa, sasa kwa nini leo Ponda?
si vizuri kuzungumzia jambo ambalo tayari lipo mahakamani,mahakama ndio itaprove whether Ponda is guilt or otherwise.nina imani haki itatendeka na hakuna atakaeonewa
Uislam haukubaliki. Tushirikiane kuutokomeza.
Hakika uislam ameuleta kwetu mwenyezimungu mwenyewe.hauwezi kutokomezwa na mt yeyote mpaka kije kiama.frauni wewe
uislamu dini pekee ambayo ilienea na kuenea na inayoenea sehemu kubwa ya dunia bila ya kufunguliwa kituo cha polisi na kuwalazimu watu waingie,wala kulazimishwa uache dini yako ndo upate huduma mbalimbali kama elimu,hospitali na misaada mingine kama wafanyavyo wakristo kuwaambia km wataka kufanya kazi hospital za misheni lazima ubadiri dini kwanza,ni dini pekee ambayo haijaenezwa kwa dhurma na hata wanaosema eti umeenezwa kwa upanga ni kwakuwa hawaijui historia sahihi au wanaijua bali wanaibadilisha ili waendelee kuwapoteza watu kuelekea motoni ila kwahakika hamuwezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu kwa mikono kwani mungu ndo mwenye nuru japo mnalichukia makafiri jambo.
Pamoja mkuu magaidi wakubwa hao.Uislam haukubaliki. Tushirikiane kuutokomeza.
Uisilam ni janga la taifa na lazima upigwe vita kali.
Mfumo wa kuwadhulumu Waislaam haujaanza leo lakini mwanzo wa mwisho unaonekana.
2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose
3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa
huo ukristo umeletea maendeleo yapu Tanzania?
Kama hujasoma shule za kata, naamini hata shule uliyosoma itakuwa ya kanisa. Mf. Ilboru, Ihungo, Rugambwa, Msalato etc. Zote Nyerere alitaifisha ili watu wa madrassa Baitul nao wapate ilmu dunia.huo ukristo umeletea maendeleo yapu Tanzania?
Maendeleo ya kuandamana na kuiba sadaka.huo ukristo umeletea maendeleo yapu Tanzania?
Kuna mambo mengi sana yananisumbua kuhusu Waislaam ila jambo kubwa ni kuwa, kwanini waislaam wanawaza kwa pamoja? Wakiwaza MABAYA wanawaza kwa pamoja. Wakiwaza MAZURI pia wanawaza kwa pamoja. Leo hii Waislaam wengi wanawachukia Wakristo bila hata sababu za msingi. Inajulikana wazi kabisa kuwa NGUZO KUU YA UKRISTO NI ELIMU. Hivyo ni wazi kuwa mtu yeyote ambaye hatilii maanani elimu ataangamia.Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?
Suala la ponda liko hivi
1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam
2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose
3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa
Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.
nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote
Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah
Uislam haukubaliki. Tushirikiane kuutokomeza.