Kosa la ponda ni lipi?

Ponda anaonewa, anachofanya Ponda kuchochea udini na kuwagawa Watanzania ni kinyume cha sheria lakini Islamist clerics wanayafanya haya kiiiiiila siku na hakuna anaekamatwa, sasa kwa nini leo Ponda?
 
Ponda anaonewa, anachofanya Ponda kuchochea udini na kuwagawa Watanzania ni kinyume cha sheria lakini Islamist clerics wanayafanya haya kiiiiiila siku na hakuna anaekamatwa, sasa kwa nini leo Ponda?

wameanza na ponda kwanza,wengine watafuata
 
Hakika uislam ameuleta kwetu mwenyezimungu mwenyewe.hauwezi kutokomezwa na mt yeyote mpaka kije kiama.frauni wewe

uislamu dini pekee ambayo ilienea na kuenea na inayoenea sehemu kubwa ya dunia bila ya kufunguliwa kituo cha polisi na kuwalazimu watu waingie,wala kulazimishwa uache dini yako ndo upate huduma mbalimbali kama elimu,hospitali na misaada mingine kama wafanyavyo wakristo kuwaambia km wataka kufanya kazi hospital za misheni lazima ubadiri dini kwanza,ni dini pekee ambayo haijaenezwa kwa dhurma na hata wanaosema eti umeenezwa kwa upanga ni kwakuwa hawaijui historia sahihi au wanaijua bali wanaibadilisha ili waendelee kuwapoteza watu kuelekea motoni ila kwahakika hamuwezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu kwa mikono kwani mungu ndo mwenye nuru japo mnalichukia makafiri jambo.
 
uislamu dini pekee ambayo ilienea na kuenea na inayoenea sehemu kubwa ya dunia bila ya kufunguliwa kituo cha polisi na kuwalazimu watu waingie,wala kulazimishwa uache dini yako ndo upate huduma mbalimbali kama elimu,hospitali na misaada mingine kama wafanyavyo wakristo kuwaambia km wataka kufanya kazi hospital za misheni lazima ubadiri dini kwanza,ni dini pekee ambayo haijaenezwa kwa dhurma na hata wanaosema eti umeenezwa kwa upanga ni kwakuwa hawaijui historia sahihi au wanaijua bali wanaibadilisha ili waendelee kuwapoteza watu kuelekea motoni ila kwahakika hamuwezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu kwa mikono kwani mungu ndo mwenye nuru japo mnalichukia makafiri jambo.

mnakielewa vizuri mnachokijadili?
 
Mfumo wa kuwadhulumu Waislaam haujaanza leo lakini mwanzo wa mwisho unaonekana.
 
Ukiwa na ugonjwa wa zinaa, hakyanani unaweza kuuficha na kuwahadaa watu kuwa kuchechemea kwako na kutembea umepanua miguu ni sababu ya mazoezi makali. Lkn ukiwa na ujinga, namna pekee ya kuuficha ni kukaa kimya.
2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa

Hebu wewe mwenyewe angalia madhara ya kuongozwa na mtu mjinga. Hizo RED zinaonesha kabisa unajua kuwa kiwanja ni mali ya nani, lkn cha kushangaza, wewe huyo huyo unarudi kusema tena KIWANJA NI MALI YA WAISLAM! Kweli umeshindwa kuficha upumbavu wako?
 
huo ukristo umeletea maendeleo yapu Tanzania?
Kama hujasoma shule za kata, naamini hata shule uliyosoma itakuwa ya kanisa. Mf. Ilboru, Ihungo, Rugambwa, Msalato etc. Zote Nyerere alitaifisha ili watu wa madrassa Baitul nao wapate ilmu dunia.
 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?
Kuna mambo mengi sana yananisumbua kuhusu Waislaam ila jambo kubwa ni kuwa, kwanini waislaam wanawaza kwa pamoja? Wakiwaza MABAYA wanawaza kwa pamoja. Wakiwaza MAZURI pia wanawaza kwa pamoja. Leo hii Waislaam wengi wanawachukia Wakristo bila hata sababu za msingi. Inajulikana wazi kabisa kuwa NGUZO KUU YA UKRISTO NI ELIMU. Hivyo ni wazi kuwa mtu yeyote ambaye hatilii maanani elimu ataangamia.

Mi nawaomba ndugu zetu waislaam waache majungu na chuki za kike zao kuoneana WIVU. Suluhu ya matatizo yao ni ELIMU TU. Acheni mambo ya kuunda vikundi vya UAMSHO na kuhujumu mali za watu, hamtafanikiwa. Ukivunja kanisa letu kuna mambo mawili utegemee kuyapata. Kwanza utakamatwa na kufungwa na pili huko mbinguni utaenda MOTONI! Acheni kulalamika, someni sana, fanyeni kazi kwa bidii mtafanikiwa.

 
Nchi yetu inaenda pabaya kwani waislam wanaona kama wanaonewa na serikali hii, lakini wakristo wamekuwa wanashabikia na kua upande wa serikali kufurahia madhila yanayo wapata waislam. hakuna mkristo aliyewahi kuona kuwa hapa serikali haijatenda haki kwa waislam. hiki ndio kitu kibaya kuliko vyote?

Suala la ponda liko hivi

1. amehisishwa na kesi ya kuchoma makanisa, kitu ambacho si kweli waliochoma makanisa walikamatwa na kesi yao inaendelea, alichosema ponda waachiwe waliokamatwa kwa hoja alizozitoa kama muislam

2. Kosa alilokamatiwa ni UVAMIZI wa eneo la mtu hapo chang'ombe hili ndo kosa lake akiwa na watu 36 wengine
kwanini unakua uonevu? suala la kiwanja kuvamiwa halihitaji waziri wa mambo ya ndani aite wanahabari kuwaambia uovu huo, hili ni suala la mdai (anayedaiwa mwenye kiwanja), polisi na wavamizi kwanini kiwanja hiki kinatetewa kwa nguvu zote? waziri amepewa kitu kidogo au anafurahia kiwanja hicho kuuzwa ili waislam wakose

3 KIWANJA NI MALI YA WAISLAM walichorithi iliyokua jumuia ya afrika mashariki ya waislam, sasa kinaangaliwa na bakwata. Bakwata wameshindwa kuiendeleza matokeo yake wanataka kukiuza ili wajipatie fedha wale wao kwa manufaa yao na si waislam.
kiwanja hiki aliuziwa manji miaka ya nyuma, waislam wakishirikiana na imam wa masjid mtoro walipiga kelele manji akashindwa kukichukua, sasa kimeuzwa tena na aliyenunua kiwanja alianza kujenga, walioweza kina ponda walienda kukizuia wakavamia na kujenga msikiti wa muda ndipo alipokamatwa


Dhulma inaandaliwa ili kuwakandamiza waislam, imeunganishwa na kesi ya UAMSHO ili ionekane nchi iko kwenye hali ya hatari wakati si kweli, Ya mbagala yalipita watu wakachukuliwa hatua leo kuja kumkamata ponda halafu useme wewe kwa sababu fujo ilifanyika mbagala unakosa, ulikataa sensa unakosa, huu ni uhuni.

nchi imetulia ila yanajengwa mazingira kuonyesha nchi iko kwenye hali ya hatari waislam wakandamizwe mbaya christian your happy, Lakini mambo yakiharibika yataharibika kwa wote

Waislam tuzidishe dua katika kipindi hiki kigumu na ALLAH(S.W) atadhihirisha haki inshalah

Nyakati zote mngehamasishana kufanya dua wala tusingefika hapa, nashukuru sasa mmeanza kupata ufahamu na kujua suluhu ya tatizo hupatikana kwenye dua na sio kuchoma makanisa.
 
Uislam haukubaliki. Tushirikiane kuutokomeza.

UTAKUA UNAJUDANGANYA WENZAKO WANACHANGANYIKIWA KUJUA WHY?

HAPO KAKA UKO GIZANI MAANA HUJUI HATA TAKWIMU WALA CURRENT ISSUES.
KWA TAARIFA ISLAM IS FASTEST GROWING RELIGION IN THE WORLD

Claims to be the fastest-growing religion - Wikipedia, the free encyclopedia

According to the Guinness Book of World Records, Islam is the world's fastest-growing religion by number of conversions each year: "Although the religion began in Arabia, by 2002 80% of all believers in Islam lived outside the Arab world. In the period 1990-2000, approximately 12.5 million more people converted to Islam than to Christianity".[SUP][5][/SUP] Part of the books quote can be seen online from this extract from Google Books.[SUP][5][/SUP] This was again shown in the 2005, 50th anniversary edition of Guinness Book of World Records, although the number of conversions was not mentioned this time.[SUP][6][/SUP]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom