Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,957
huyo ndo Kim bhana! dogo anawasumbua sana mashoga.
Sana, anawapelekesha kweli kweli hao mahanisi
huyo ndo Kim bhana! dogo anawasumbua sana mashoga.
Amekusaidia nn kama hata sindano huwezi kutengeneza naona mungu wao ndiye wakweliWenyewe hawaamini MUNGU wetu
Maskini ni sisi mkuu na sio korea, acheni propagandaHakuna kitu kibaya kama umasikini, umasikini huleta chuki, umasikini huleta uasi na umasikini huleta vifo.
.
North Korea wana-experience maisha magumu sana kuliko ya mwananchi wa tandahimba.
.
Wanaimarisha jeshi wakati uchumi ni mdogo What if mataifa yote yakaacha kuwapelekea bidhaa muhimu kama mafuta n.k kwa sanctions za US, China wanawavumilia lakini ipo siku watachoka.
N.korea ni masikini vibaya mno kaka amini usiamini wameendelea Pyongyang tu wanakila kitu treni za umeme, mabasi ya umeme n.k lakini wakazi wa Pyongyang ni watu wasio na furaha ila wanalazimishwa wawe nayo.Maskini ni sisi mkuu na sio korea, acheni propaganda
Kwani unaishi sehemu gani kwa hapo NK!?N.korea ni masikini vibaya mno kaka amini usiamini wameendelea Pyongyang tu wanakila kitu treni za umeme, mabasi ya umeme n.k lakini wakazi wa Pyongyang ni watu wasio na furaha ila wanalazimishwa wawe nayo.
.
Mwananchi anaezungumza na foreign media anakamatwa akigundulika, bei ya basic needs ni ghali mno wanatamani leo kesho S.KOREA iwe yao.
We unaishi tandika mikoroshini hizi taarifa umezitoa wapiN.korea ni masikini vibaya mno kaka amini usiamini wameendelea Pyongyang tu wanakila kitu treni za umeme, mabasi ya umeme n.k lakini wakazi wa Pyongyang ni watu wasio na furaha ila wanalazimishwa wawe nayo.
.
Mwananchi anaezungumza na foreign media anakamatwa akigundulika, bei ya basic needs ni ghali mno wanatamani leo kesho S.KOREA iwe yao.
Hao ndio viashiria vya wamerekani kuwa propaganda zao zimefanya kaziWe unaishi tandika mikoroshini hizi taarifa umezitoa wapi
Umewahi fika North Korea ukaona wanashida kama za Tandahimba ama unatumia zile picha za CNN,Fox & co...kufikia hitimisho la shida za KoreaWaimarishe uchumi wao kwanza ndipo waanze kufanya uwekezaji mkubwa wa billions of money kwenye jeshi lao.
.
Mfano mzuri ni Tanzania tuanze kutumia uranium zile tutengeneze chemical weapons tuwekeze mabilion kwenye vifaa na silaha za kijeshi wakati ni taifa masikini sanaaa.
Nchi maskini kama Tandahimba inaweza kuwa na technology ya kutengeneza nuclear kweli..?!!Mkuu hata sasa wanaweza kuvamiwa na kupigwa vibaya mno na muamerica lakini kuna athari itajitokeza hakutakuwa na "Cold war" tena bali vita halisi yaani WW3.
.
Russia ataingia, China ataingia na wengineo ambao wananafkiana na marekani (Nchi za kiislam). NB: si zote
Wakiingia hao Ukraine ataingia na Soviet country zote zitaingia japan, s.Korea, Canada, Germany, Israel, France, UK, Brazil n.k.
.
Itakuwa ni hatari ndio maana inatumika njia ya mazungumzo, mitambo yao ni hatari hata kwako muafrica likipigwa bomu la nuclear hatubaki kaka atabaki mende tu
Wako makini....coz huyu Mungu wa wazungu anawapendelea wao ...ndio maana wameshindwa kuwaharibu coz Mungu wa wakorea naye yuko makiniWenyewe hawaamini MUNGU wetu
..sasa nchi maskini ingewezaje hayo mkuuNi utafiti uliofanywa kisayansi bomu la nyuklia likipigwa ni yeye pekee anayeweza kusavaivu.
TrueAmekusaidia nn kama hata sindano huwezi kutengeneza naona mungu wao ndiye wakweli
How, enlighten meHili gemu bado lipo na litaendelea kuwepo tu coz kuna watu wanafaidika na huu mgogoro including US mwenyewe.
Kwani unaishi sehemu gani kwa hapo NK!?
Unaposema uchumi wao Mbovu unalinganisha na nchi ipi? Maelezo yako mengi Sana as if wew ni mkazi wa North korea, Hivi upo Jimbo gani huko?Waimarishe uchumi wao kwanza ndipo waanze kufanya uwekezaji mkubwa wa billions of money kwenye jeshi lao.
.
Mfano mzuri ni Tanzania tuanze kutumia uranium zile tutengeneze chemical weapons tuwekeze mabilion kwenye vifaa na silaha za kijeshi wakati ni taifa masikini sanaaa.
Si propanganda za CNN wala BBC nimefanya na naendelea kufanya kazi na hackers wa kijerumani tunayajua haya.Unaposema uchumi wao Mbovu unalinganisha na nchi ipi? Maelezo yako mengi Sana as if wew ni mkazi wa North korea, Hivi upo Jimbo gani huko?
Acha kukariri propaganda za CNN au BBC.
North Korea wana OS ya kwao, makombora and other military hardware ni tech yao halafu wewe unaleta maneno mbofu mbofu
hahahahahahaaaama kweli bongo bahati mbaya