Korea ya kaskazini yafanya majaribio mapya ya Silaha

Korea ya kaskazini yafanya majaribio mapya ya Silaha

huwez kuwa na nuclear kama unauchumi wa hovyo pia nuke ni ishara ya maendeleo ya teknolojia
Uchumi Una Data Zake Ndugu, Sio Nuclear! Kutokuwa Na Nuclear Weapons Hakumaanishi Wewe Ni Masikini Na Pia Kuwa Nazo Hakumaanishi Wewe Ni Nchi Tajiri.

Rudi Kwenye Historia, Hizi Technolojia Za Nuclear Zipo Muda Mrefu Tu Na Nchi Mbalimbali Hasa Asia Zimekuwa Zikiuziana Hii Technolojia, Kuanzia Iran, China, India, Pakistan, Na N. Korea Yenyewe. Soma Historia Ya Huyu Mtu Abdul Qadeer Khan.

Huyo Ni Mwanafizikia Wa Pakistan. Huyo Ni Kiini Kikubwa Cha Elimu Hiyo Ya Nyuklia Kusambaa Asia. Yeye Alitoka Nayo Europe (Inasemekana Kuwa Aliiba) Na Kuipeleka Nchini Kwake Pakistan Na Ndiye Aliyeziuzia Libya, Iran Na North Korea Teknolojia Hiyo. Na Ndio Aliyesimamia Miradi Ya Nuclear Ya Pakistan. Soma Kuhusu A Q Khan Network.

Hata Sisi Tanzania Tungekuwa Tunapakana Na Hizi Nchi Ni Kwa Asilimia Kubwa Sana Tungekuwa Na Nyuklia Licha Ya Uchumi Wetu Kuwa Mbaya.
 
Sasa mkuu hao world bank si ndio hao hao maadui wake north korea ? Ulitegemea watoe taarifa nzuri tofauti na hizo propaganda zao
Maadui Zake Kivipi. Hizo Taarifa Hazina Propaganda. Hata North Korea Wametoa Nao Data Zao Mwaka Jana, Hazipishani Na Hizo!
 
Uchumi Una Data Zake Ndugu, Sio Nuclear! Kutokuwa Na Nuclear Weapons Hakumaanishi Wewe Ni Masikini Na Pia Kuwa Nazo Hakumaanishi Wewe Ni Nchi Tajiri.

Rudi Kwenye Historia, Hizi Technolojia Za Nuclear Zipo Muda Mrefu Tu Na Nchi Mbalimbali Hasa Asia Zimekuwa Zikiuziana Hii Technolojia, Kuanzia Iran, China, India, Pakistan, Na N. Korea Yenyewe. Soma Historia Ya Huyu Mtu Abdul Qadeer Khan.

Huyo Ni Mwanafizikia Wa Pakistan. Huyo Ni Kiini Kikubwa Cha Elimu Hiyo Ya Nyuklia Kusambaa Asia. Yeye Alitoka Nayo Europe (Inasemekana Kuwa Aliiba) Na Kuipeleka Nchini Kwake Pakistan Na Ndiye Aliyeziuzia Libya, Iran Na North Korea Teknolojia Hiyo. Na Ndio Aliyesimamia Miradi Ya Nuclear Ya Pakistan. Soma Kuhusu A Q Khan Network.

Hata Sisi Tanzania Tungekuwa Tunapakana Na Hizi Nchi Ni Kwa Asilimia Kubwa Sana Tungekuwa Na Nyuklia Licha Ya Uchumi Wetu Kuwa Mbaya.
fact nuke nyerere si alikuwa na ndoto hyo lkn mbona ilifeli
 
Korea Kaskazini yafanyia majaribio silaha mpya na ya kisasa chini ya usimamizi wa Kim Jong-un
Serikali ya Korea Kaskazini imefanyia majaribio kwa mafanikio, ya silaha ya 'kistratijia, mpya na ya kisasa' chini ya usimamizi wa kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-un.
Shirika la Habari la Korea Kaskazini imetangaza kwamba, majaribio hayo yaliyofanyika asubuhi ya leo, yanaifanya silaha hiyo mpya iiongezee uwezo mkubwa wa kijeshi nchi hiyo. Hata hivyo taarifa hiyo hakusema muda wala aina ya silaha iliyofanyiwa majaribio hayo. Hii ni katika hali ambayo Shirika la Habari la Korea Kusini Yonhap limetangaza kwamba hadi sasa halijapata dondoo zozote kuhusiana na majaribio hayo. Majaribio hayo yamefanyika katika hali ambayo tarehe 12 Juni mwaka huu, rais wa Marekani, Donald Trump na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini walikutana nchini Singapore na kutiliana saini makubaliano kadhaa ambapo kwa mujibu wake, Pyongyang ilikubali kuangamiza kikamilifu silaha zake za nyuklia.
Hata hivyo serikali ya Korea Kaskazini imekuwa ikiilalamikia Marekani kwa kukiuka makubaliano hayo, sambamba na Washington kuendelea kufanya maneva mbalimbali ya kijeshi katika eneo, suala ambalo limekuwa likipingwa vikali na Pyongyang. Kabla ya hapo vyombo vya habari nchini Marekani viliripoti kwamba sambamba na kufanyika mazungumzo kati ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini katika miezi iliyopita, serikali ya Pyongyang imekuwa ikiendelea kuunda makombora ya mabara kwa kutumia fueli mpya ya majimaji katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo.
North korea kila kitu wanachofanya huwa wanajadiliana kwa mapana na marefu. Mimi nilijua tu trump anajisumbua. Mwisho wa siku watavamia south korea. Maana maspy wa nort korea sasa hivi wanaingia sana south.
 
Hakuna kitu kibaya kama umasikini, umasikini huleta chuki, umasikini huleta uasi na umasikini huleta vifo.
.
North Korea wana-experience maisha magumu sana kuliko ya mwananchi wa tandahimba.
.
Wanaimarisha jeshi wakati uchumi ni mdogo What if mataifa yote yakaacha kuwapelekea bidhaa muhimu kama mafuta n.k kwa sanctions za US, China wanawavumilia lakini ipo siku watachoka.
ahahahhaa ndoto za alinacha. Ulishasikia north korea kuna tatizo la ajira au njaa? hizo ni propaganda za USA mkuu
 
North korea kila kitu wanachofanya huwa wanajadiliana kwa mapana na marefu. Mimi nilijua tu trump anajisumbua. Mwisho wa siku watavamia south korea. Maana maspy wa nort korea sasa hivi wanaingia sana south.
kwann waivamie south wanataka nn
 
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
Huwezi ukawa na high technology ikiwa unamapungufu ya lishe. Sio kama sisi wabongo, halafu unasema umekula.
Kiufupi umaskini unapimwa kwa vitu vingi sana. Lakin kwa NK sio maskini, wameprove kwa njia nyingi sana
1. Imedumu kwenye vikwazo kwa miongo kadhaa lakini viwanda vyao havijafa. Tanzania sisi hakuna janga la maana lililowahi kutupata zaidi ya vita vya kagera, viwanda karibu vyote vilikufa/vimekufa.
2. Wamemeintein status yao ya yakutoyumbishwa na mataifa ya magharibi. Sisi leo hii makonda anapambana na ushoga, wizara inasema suala la makonda ni mawazo yake sio tamko la serikali. Nikiwa na maana hawategemei misaada haramu.
3.Resources walizo nazo ni chache ukiilinganisha na Tanzania, lakini wamekua nuclear power.

Unawezaje kuilinganisha na Tandahimba? Hii dharau kubwa sana.
 
Hapa Tan
Uchumi Una Data Zake Ndugu, Sio Nuclear! Kutokuwa Na Nuclear Weapons Hakumaanishi Wewe Ni Masikini Na Pia Kuwa Nazo Hakumaanishi Wewe Ni Nchi Tajiri.

Rudi Kwenye Historia, Hizi Technolojia Za Nuclear Zipo Muda Mrefu Tu Na Nchi Mbalimbali Hasa Asia Zimekuwa Zikiuziana Hii Technolojia, Kuanzia Iran, China, India, Pakistan, Na N. Korea Yenyewe. Soma Historia Ya Huyu Mtu Abdul Qadeer Khan.

Huyo Ni Mwanafizikia Wa Pakistan. Huyo Ni Kiini Kikubwa Cha Elimu Hiyo Ya Nyuklia Kusambaa Asia. Yeye Alitoka Nayo Europe (Inasemekana Kuwa Aliiba) Na Kuipeleka Nchini Kwake Pakistan Na Ndiye Aliyeziuzia Libya, Iran Na North Korea Teknolojia Hiyo. Na Ndio Aliyesimamia Miradi Ya Nuclear Ya Pakistan. Soma Kuhusu A Q Khan Network.

Hata Sisi Tanzania Tungekuwa Tunapakana Na Hizi Nchi Ni Kwa Asilimia Kubwa Sana Tungekuwa Na Nyuklia Licha Ya Uchumi Wetu Kuwa Mbaya.
sasa hapa kwetu Tanzania kuna vyuo vya technolojia mbali mbali kama DIT, NIT, MIT na vyuo hivi vina miongo kadhaa sasa, lakin hatuna chochote tunachokifanya, kwanini hujiulizi kwanini?
 
Hapa Tan

sasa hapa kwetu Tanzania kuna vyuo vya technolojia mbali mbali kama DIT, NIT, MIT na vyuo hivi vina miongo kadhaa sasa, lakin hatuna chochote tunachokifanya, kwanini hujiulizi kwanini?
ukumbuke tz hakuna bajeti ya tafiti za kisayansi
 
Back
Top Bottom