Korea ya kaskazini yafanya majaribio mapya ya Silaha

Korea ya kaskazini yafanya majaribio mapya ya Silaha

Hehehehe kupata vichekesho vingine kama hv unatuma kwenda namba gani
Si propanganda za CNN wala BBC nimefanya na naendelea kufanya kazi na hackers wa kijerumani tunayajua haya.
.
Na kwa kukupa intro ya anachofanyiwa N.korea kuna track system za kimarekani zipo kwao kila kinachoendelea kule kinafahamika ukiondoa msaada wa NASA
 
ok lkn kiufupi north korea wapo salama kbs na sio maskini
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
 
Hujasoma vizuri ila umekurupuka, nafanya kazi na hackers wa Germany ambao wanafanya kazi zao legally.
.
Mimi sihack chochote cha N.korea ila taarifa ya anachofanyiwa nazipata kwa forum.
Kwahiyo wewe hacker wa Tz unapata taarifa zote jinsi North Korea wanavyodukuliwa halafu wao North hawajui. Yaani wewe mndengeleko unajua wakati North hawajui . Hii ni zaidi ya comedy
 
Kupata vichekesho vingine Kama Hivi Tuma neno "VICHEKESHO " kwenda namba 15722 au bonyeza *150*44*07# kisha OK
Hujasoma vizuri ila umekurupuka, nafanya kazi na hackers wa Germany ambao wanafanya kazi zao legally.
.
Mimi sihack chochote cha N.korea ila taarifa ya anachofanyiwa nazipata kwa forum.
 
East Africa Life expectancy yenu ni ngapi mkuu?
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
 
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
ni maskini anaejiweza ana kila kitu chake lkn pamoja na vikwazo bado anauza bidhaa zake za kijeshi rejea CIA walivyodai tz wananunua mifumo ya ulinzi wa anga from north korea pia north korea kutumia bendera za tanzania kwenye meli zake
 
ni maskini anaejiweza ana kila kitu chake lkn pamoja na vikwazo bado anauza bidhaa zake za kijeshi rejea CIA walivyodai tz wananunua mifumo ya ulinzi wa anga from north korea pia north korea kutumia bendera za tanzania kwenye meli zake
Ana Kila Kitu Chake? Mshirika Wake Mkubwa Ni China Kibiashara Na Urusi Kijeshi Na Huko Ndipo Ana Import Zana Zake Nyingi Za Kijeshi Na Vifaa Vingine. Sikatai Kama Anatengeneza Lakini Most Ya Zana Za Kijeshi Anazotumia Yeye Kama Yeye Anatoa Urusi Na China.
 
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
Ukisema uchumi wao sio kama wa Jirani zao apo sawa, ila sio maskini mkuu, Media za west ni hatari sana, UMASKINI GANI HUO WA KUTENGENEZA NUKES ??
 
Hao North Korea Wana Utajiri Gani Kushinda Jirani Zake! Wao Si Ndio Maskini Zaidi Ukanda Ule Wa East Asia.

Mortality Rate Yao Ipo Juu, Uhaba Wa Chakula, Umasikini Upo Juu, Uzalishaji Mdogo, Huduma Za Afya Hafifu, Jirani Zao South Wana Life Expectancy Miaka 79, Wao North Wana 69.
Kwahiyo ulitaka waishi mpaka watembelee wheelchair? 69 inatosha kabisa kutengeneza nukes na kuacha historia.
 
Ana Kila Kitu Chake? Mshirika Wake Mkubwa Ni China Kibiashara Na Urusi Kijeshi Na Huko Ndipo Ana Import Zana Zake Nyingi Za Kijeshi Na Vifaa Vingine. Sikatai Kama Anatengeneza Lakini Most Ya Zana Za Kijeshi Anazotumia Yeye Kama Yeye Anatoa Urusi Na China.
kitendo cha kuwa na nyukilia kinatosha kbs kujua hao watu sio watoto kwenye tecnolojia
 
Ukisema uchumi wao sio kama wa Jirani zao apo sawa, ila sio maskini mkuu, Media za west ni hatari sana, UMASKINI GANI HUO WA KUTENGENEZA NUKES ??
Nuclear Sio Uchumi Ndugu. Uchumi Unaangaliwa Katika Vigezo Kadhaa Vikiwemo GDP Na Per Capita Yao. Pitia Hivyo Ndio Utajua Kwanini North Korea Ni Masikini.

Kwa Data Zilizopo Za Mwaka 2017 North Korea GDP Ipo Kwenye $30.70 billion, Huku GDP Per Capita Ikiwa $1,214.

Tulinganishe Na Bongo;
GDP Yetu Kwa Data Za World Bank Mwaka 2017 Ni $52.09 billion, Huku GDP Per Capita Ikigota Kwenye $936.33

Twende Kwa Jirani Zetu Kenya;
GDP $79.51 billion (2017) Huku GDP Per Capita Ikiwa $1,507.81

Twende Uganda;
GDP $25.89 billion (2017) Huku GDP Per Capita Ikiwa $604.04

Baada Ya Hapo Ngoja Nikupe Mfano Wa Nchi Yenye Uchumi Wa Wastani Kidogo;

Twende South Africa;
GDP $349.4 billion (2017), Na GDP Per Capita $6,160.73

Mpaka Hapo Haina Ubishi Kwamba North Korea Ni Masikini Na Hana Tofauti Sana Na Sisi Na Hata Hizo Teknolojia Zao Nyingi Ni Za Kizamani Kutoka Urusi. Na Nyingi Ni Government Owned, Hazipo Public Kwa Wananchi.
 
Nuclear Sio Uchumi Ndugu. Uchumi Unaangaliwa Katika Vigezo Kadhaa Vikiwemo GDP Na Per Capita Yao. Pitia Hivyo Ndio Utajua Kwanini North Korea Ni Masikini.

Kwa Data Zilizopo Za Mwaka 2017 North Korea GDP Ipo Kwenye $30.70 billion, Huku GDP Per Capita Ikiwa $1,214.

Tulinganishe Na Bongo;
GDP Yetu Kwa Data Za World Bank Mwaka 2017 Ni $52.09 billion, Huku GDP Per Capita Ikigota Kwenye $936.33

Twende Kwa Jirani Zetu Kenya;
GDP $79.51 billion (2017) Huku GDP Per Capita Ikiwa $1,507.81

Twende Uganda;
GDP $25.89 billion (2017) Huku GDP Per Capita Ikiwa $604.04

Baada Ya Hapo Ngoja Nikupe Mfano Wa Nchi Yenye Uchumi Wa Wastani Kidogo;

Twende South Africa;
GDP $349.4 billion (2017), Na GDP Per Capita $6,160.73

Mpaka Hapo Haina Ubishi Kwamba North Korea Ni Masikini Na Hana Tofauti Sana Na Sisi Na Hata Hizo Teknolojia Zao Nyingi Ni Za Kizamani Kutoka Urusi. Na Nyingi Ni Government Owned, Hazipo Public Kwa Wananchi.
Chanzo Cha takwimu zako
 
Back
Top Bottom