Huwezi ukawa na high technology ikiwa unamapungufu ya lishe. Sio kama sisi wabongo, halafu unasema umekula.
Kiufupi umaskini unapimwa kwa vitu vingi sana. Lakin kwa NK sio maskini, wameprove kwa njia nyingi sana
1. Imedumu kwenye vikwazo kwa miongo kadhaa lakini viwanda vyao havijafa. Tanzania sisi hakuna janga la maana lililowahi kutupata zaidi ya vita vya kagera, viwanda karibu vyote vilikufa/vimekufa.
2. Wamemeintein status yao ya yakutoyumbishwa na mataifa ya magharibi. Sisi leo hii makonda anapambana na ushoga, wizara inasema suala la makonda ni mawazo yake sio tamko la serikali. Nikiwa na maana hawategemei misaada haramu.
3.Resources walizo nazo ni chache ukiilinganisha na Tanzania, lakini wamekua nuclear power.
Unawezaje kuilinganisha na Tandahimba? Hii dharau kubwa sana.