Kopesha ushangazwe

Kopesha ushangazwe

1.Nimebwagiwa simu ya tachi kwa elfu 20 kwa ahadi ya kulipa ndani ya wiki moja lakini mwezi unakata sasa na yupo kimya tu.
2.Mwengine mpangaji mwezangu naye mwaka unakakaribia kukata kwa ahadi ya wiki moja atarejesha,nimebaki namwangalia tu na alivyo kauzu akipataga changamoto ananikimbilia vidogo nam save vikubwa namwambia sina ata kama ninacho.
Watu wa design hii sijui wanashida gani Mkuu wanafanya tushidwe kusaidiana Kwa mambo serious.
 
Maelezo yako nimeyapima na kuona kuwa huyo classmet wako ashakuwa tapeli.

Lakini mbinu hiyo pia hutumiwa na wanawake kumpata mwanaume wanayemtamani, wanasema 'kukuelewa', sazingine mitego inakuwa haikunasi na huna hili wala lile.

Mbinu anayotumia kujenga mazoea ya kukufikia, anakuja na gia ya kukukopa.

Sasa katika kupigiana simu za kudaiana, ndounakuta humo humo kaweka nyavu zake.

Kunakuwa na options mbili tu hapo, 'ule uliwe au uliwe bila kula'.
Huyo ni tapeli Mkuu.
 
Back
Top Bottom