Kopesha ushangazwe

Kopesha ushangazwe

Kumkopesha mtu shida sana,
Mimi wiki kama 2 kuna jamaa alinifata home usiku akaniomba nimsaidoe kiasi kidogo cha fedha alikuwa mpole sana na mnyenyekevu nikamwambia sina.
Akanifata tena siku iliyofata akiwa na mtoto wake anatia huruma kwamba mtoto anaumwa akanisisitiza nimkopeshe atanirudishia baada ya wiki moja.
Imefika wiki simuoni nikaanza kumtafuta nikikutana naye ananiambia hana hela hajapata. Ananiahidi kesho ,ikifika hiyo kesho aliyosema haji naanza kumtafuta nikimpata ananijibu hajapata ananipa ahadi ambazo hatekelezi.
Yaani ikawa mimi ndio namtafuta namdai .
Jinsi ambavyo sipendi kufatilia watu nimeamua kumchunia kila akiniona anajistukia saa nyingine anajificha wakati mimi nishamuona na mimi nampotezea.
Kukopesha watu imekuwa jau sana .
Unapata kazi ya kuanza kumfatilia akulipe wakati alipokuwa anashida yeye ndiye alikutafuta
Noma Sana Mkuu wanakuwa wapole wakishapata kibunda jeuri sijui ni matatizo ya afya ya akili au umasikini I don't know.
 
Wabongo bado tuna shida sana, unakopesha una leseni? Ukimpa mtu mali yako binafsi ni kwamba umedonate, kama mtu anataka mkopo aende kwa wakopeshaji rasmi waliosaijiliwa ukijipendekeza umeliwa tu na futa kwenye vitabu vyako! Wakilipa ujue ni waungwana na wanakuheshimu sana
Hakika Mkuu noma Sana.
 
Kumkopesha mtu shida sana,
Mimi wiki kama 2 kuna jamaa alinifata home usiku akaniomba nimsaidoe kiasi kidogo cha fedha alikuwa mpole sana na mnyenyekevu nikamwambia sina.
Akanifata tena siku iliyofata akiwa na mtoto wake anatia huruma kwamba mtoto anaumwa akanisisitiza nimkopeshe atanirudishia baada ya wiki moja.
Imefika wiki simuoni nikaanza kumtafuta nikikutana naye ananiambia hana hela hajapata. Ananiahidi kesho ,ikifika hiyo kesho aliyosema haji naanza kumtafuta nikimpata ananijibu hajapata ananipa ahadi ambazo hatekelezi.
Yaani ikawa mimi ndio namtafuta namdai .
Jinsi ambavyo sipendi kufatilia watu nimeamua kumchunia kila akiniona anajistukia saa nyingine anajificha wakati mimi nishamuona na mimi nampotezea.
Kukopesha watu imekuwa jau sana .
Unapata kazi ya kuanza kumfatilia akulipe wakati alipokuwa anashida yeye ndiye alikutafuta
Bora lawama
 
Kwa uzoefu wangu, ni asilimia 10 tu (au pungufu) ya watu ambao unaweza kuwakopesha na wakarudisha kwa wakati bila tatizo. Waliobaki, kuna mawili, ama usirudishiwe kabisa, au urudishiwe baada ya kugombana sana!!
Aisee noma Sana Mkuu tutakuwa tunashindwa kusaidiana kisa kukosa uaminifu Mdogo Mdogo.
 
Mimi Kuna demu aliniface for the 1st time alitaka laki4 nikasema nayo nusu laki2 akasema ndani YA week atanipa

Kilichofuata akawa hapokei simu (Dah Shida aisee) demu mwenye tulisoma naye chuo...Na alikuja personally kuwa ana Shida..tulikuwa Na miaka Zaidi YA Kumi bila kuwa Naawasilano YA moja Kwa moja...as of now hata sh Kumi hajarudisha..niliamua samehe
 
Japo nimempunguzia nusu ya deni... Lakin analikwepa, shida ni kuwa ana madeni mengi
Wengine wanakopa huku ili walipe upande wa pili mwisho wasiku ajikuta na madeni mengi.
 
Back
Top Bottom