Kopesha ushangazwe

Kopesha ushangazwe

Kwanini unawazungusha sasa?
Huyu mmoja alianza dharau aliponikopesha elfu mbili ili niongeze bia pale kitelewasi taarifa nikazikuta kwa work mate wangu tena wakiwa wananicheka eti naenda bar na hela pungufu ni hapo najaribu kumfundisha kuwa dunia ina pande mbili ndugu .

Huyu mwingine ningemlipa ila shida akipiga simu kunidai hela yake hakuwahi kunisalimia ilihali namzidi umri na cheo hivyo namfundisha kuwa na heshima
 
Huyu mmoja alianza dharau aliponikopesha elfu mbili ili niongeze bia pale kitelewasi taarifa nikazikuta kwa work mate wangu tena wakiwa wananicheka eti naenda bar na hela pungufu ni hapo najaribu kumfundisha kuwa dunia ina pande mbili ndugu .

Huyu mwingine ningemlipa ila shida akipiga simu kunidai hela yake hakuwahi kunisalimia ilihali namzidi umri na cheo hivyo namfundisha kuwa na heshima
🤣🤣🤣
 
Mm baada ya kuzungushwa na ninao wadai nimeamua.

Anayetaka kukopa kwangu kama mwanaume lazima aache mkewe kwangu nikae naye kwa muda anaokaa na pesa yangu.
Kama mi mwanamke naye awe radhi kukaa kwangu kwa muda anaokaa na pesa yangu hadi atakaporudisha pesa yangu.
Wahenga walishapata kusema kukopa harusi kulipa matanga.

Wabongo almost wote wakisha kopa pesa huwa hawaangalii tena nyuma ni sawa na amejisaidia "kimba" gumu/kavu.
 
Weee, kuna watu experts wa kukopa na kutokulipa kwa makusudi. Anadaiwa na watu kama 100 hivi halafu hajali wala nini 😀😀😀
Mh dada unaweza kudhani uwa hawajali ila ukweli ni kuwa wanajali sana ndiyo maana utakuta kama ni mwanaume anaotwa na tambi tepetepe maana akiwa na stress za deni njaa haikawii ,hivyo kila muda nikula tu .

Note :uchunguzi huu nimeufanya mimi mwenyewe kupitia madeni niliyonayo
 
Mm baada ya kuzungushwa na ninao wadai nimeamua.

Anayetaka kukopa kwangu kama mwanaume lazima aache mkewe kwangu nikae naye kwa muda anaokaa na pesa yangu.
Kama mi mwanamke naye awe radhi kukaa kwangu kwa muda anaokaa na pesa yangu hadi atakaporudisha pesa yangu.
Wahenga walishapata kusema kukopa harusi kulipa matanga.

Wabongo almost wote wakisha kopa pesa huwa hawaangalii tena nyuma ni sawa na amejisaidia "kimba" gumu/kavu.
Hapo lazima mkopaji agairi kukopa😁😁😁
 
Wakuu Kama title inavyo sema kopesha ushangazwe. Mimi nimeshangazwa wiki hii na wadaiwa wangu(kuonekana mbaya kudai changu).

Naomba experience yenu nyinyi ambao tayari mlishawahi kukopesha na mkashangazwa na mli handle vipi?.
Biashara ya kukopesha isiyofuata sheria ni utapeli na pia hauwezi kutoboa kwa biashara hiyo.

Kuna kaka'ngu alistaafu, akaanzisha mradi huo.

Masharti eti mtu akaweke dhamana asset zake, mf: makochi, fridge, Tv's, magodoro, radios, baiskeli nknk.

Bila kujijua akawa anafanya biashara ya kununua vitu chakavu.

Kumbe waliokuja kuweka dhamana na kukopeshwa fedha, walikuja kuuza.

Hakuna aliyejishughulisha kwenda kukomboa!

Kimbembe kikaja yeye kuvitafutia soko la kuviuza kwa faida!

Tunavyoongea, tayari yupo kwenye magogo.
 
Mh dada unaweza kudhani uwa hawajali ila ukweli ni kuwa wanajali sana ndiyo maana utakuta kama ni mwanaume anaotwa na tambi tepetepe maana akiwa na stress za deni njaa haikawii ,hivyo kila muda nikula tu .

Note :uchunguzi huu nimeufanya mimi mwenyewe kupitia madeni niliyonayo
Wengine wanakopa, na ole wako umdai utachezea matusi si ya nchi hii. Wamekaa kama matapeli kila kona wanadaiwa
 
Back
Top Bottom