itakuwa kisirani cha kumimbwa!
SIO BURE!
dah basi nna kazi!
mpaka miezi tisa iishe na kama ndo kamtu kamechukia jf !
uuuuuwih! Kongosho i miss yu jamani!
NIMEKUMISS MPAKA MACHO YANAWASHA!
Hv jamani Kongosho huko aliko mzima kweli!
manake sidhani kama kuna usalama!
ALIYEMUONA konnie jamani aniiitie
CC watu8, Kaizer, BADILI TABIA, na Mkunde Original
walahi nahis konnie amemi.....................................
haki vile!
itakuwa kisirani cha kumimbwa!
SIO BURE!
As for watu8, sikumbuki kukuchunia popote, ujue wewe ni daktari? Inawezekana siku hiyo ukawa zamu wakati wa kuji-open, nitakuchukiaje sasa? Jee ukinichoma fenegani badala ya kristapeni?
Hujambo Konnie?
Hahahah unayakumbuka hayo maneno....maana nakumbuka liBishanga likanipiga mkwara siku hiyo