hii ni trela bana,muvi bado,ndo natafakari nishushe uzi nisishushe?
Hapana, mume mtarajiwa ni muuza mitumba mashuhuri maeneo ya durban anakwenda kwa jina la francisco radebe. usimshtue Asprin lakini manake mpaka sasa hajui kinaendelea ninikuna kipindi nilisikia figanigga kahamia bondeni,ndo mme mtarajiwa nini?
Hivi ww Mphamvu hua unafikiriaje lol!Shushaaaa!
I mean thread, maana hamchelewi kushusha kimba bure...
Cantalisia nakusubiria hapa "tufe sote" guest house, mbona hautokei au rejao kaweka ulinzi?Hivi ww Mphamvu hua unafikiriaje lol!
Hahahah hahha hahahha, klorokwini hiyo guest houz jina tu linakata stim khaaaa!Cantalisia nakusubiria hapa "tufe sote" guest house, mbona hautokei au rejao kaweka ulinzi?
Si tuko SISI KWA SISI GUEST HOUSEHahahah hahha hahahha, klorokwini hiyo guest houz jina tu linakata stim khaaaa
Huko kufa mwenyewe huko, niko na rejao wangu hapa wapendanao guest hous lol!
konnie kwa makeke,hata angeingia na ID ipi tungeshamjua tu,hakika hayumo jamvini,hope she is ok.
Hahaha hahaha hahah,Si tuko SISI KWA SISI GUEST HOUSE
Hahahah hahha hahahha, klorokwini hiyo guest houz jina tu linakata stim khaaaa!
Huko kufa mwenyewe huko, niko na rejao wangu hapa wapendanao guest hous lol!
konnie kwa mateke,hata angeingia na ID ipi tungeshamjua tu,hakika hayumo jamvini,hope she is ok.
Cantalisia nakusubiria hapa "tufe sote" guest house, mbona hautokei au rejao kaweka ulinzi?