Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,750
- 6,247
Sipo hapa kutangaza biashara. Nina TV yangu flat ya Samsung 32" nilinunua mwaka 2013 na naitumia tu chumbani. Sasa kutokana na athari za mvua hapa Dar iliingia maji mengi sana kwakuwa niliiweka karibu na dirisha na sikufunga na sikuwepo.
Asubuhi narudi nikawasha TV bila kuangalia vizuri ikagoma kuwaka. Kufuatilia maji yameingia ndani. Leo asubuhi nikatest ikawaka but haionyeshi vizuri. Baada ya hapo nikaiweka juani na nikaiwasha saa 3 usiku. TV imerudi nzima utafikiri haikupata janga lolote.
Aisee hapa ndio nimeelewa maana ya kununua kitu OG.
Maana baada ya kuweka ON tu asubuhi maana yake ingekufa kabisa.
Asante Sana SAMSUNG
Asubuhi narudi nikawasha TV bila kuangalia vizuri ikagoma kuwaka. Kufuatilia maji yameingia ndani. Leo asubuhi nikatest ikawaka but haionyeshi vizuri. Baada ya hapo nikaiweka juani na nikaiwasha saa 3 usiku. TV imerudi nzima utafikiri haikupata janga lolote.
Aisee hapa ndio nimeelewa maana ya kununua kitu OG.
Maana baada ya kuweka ON tu asubuhi maana yake ingekufa kabisa.
Asante Sana SAMSUNG