Kabla ya kongamano hilo kukutana, nilikuwa nimejaa na matumaini kwa kijana Nape Nnauye nikawa nimeamua kama mkazi wa Ubungo, kumpigia kura ya maoni kwa ajili ya jimbo la Ukonga. Lakini baada ya kongamano lile nimeghairi. Nimetambua Nnape is just a philosopher/theoretician academician kama Baregu na Dr Azaveri Lwaitama. They are good at criticising only kama mashabiki wa mpira wa Kitanzania ambao wanajiona wao ni bora zaidi ya Maximo. Ukimpa Nnape aongoze hataweza. Mimi nayasema haya from experience. Tunaemjua Jackson Makwetta enzi zake kabla hajawa Mbunge akifundisha IDM naye alikuwa hivi hivi kama akina Baregu na huyu kijana Nnape. Leo Makwetta ana miaka 30 ndani ya jimbo Njombe kaskazini wapiga kura hata kumuona hawataki. Hilo la kwanza.
La pili nielezee kongamano. Hilo kongamano mwanzoni nilifikiri limeitwa kwa ajili ya kuzungumzia mustakabali wa taifa within the context of the changing times and trends ndani ya utandawazi. Ah wapi Bwana kumbe ilikuwa ni mkusanyiko wa wazee ambao walikutana na kulia, kulalamika na kumlaumu kijana JK. Na wakaamua kumchapa Lowasa lakini hawakuwa na ujasiri wa kumtaja hata kwa jina. Basi wangemwalika ahudhurie. Sisi tunaoijua historia ya nchi yetu tunafahamu kuwa hao wazee ndiyo walioweka msingi mbovu wa utawala kiasi kwamba leo akina JK wanahangaika. Mimi ambaye Baba yangu alifanya kazi enzi za Nyerere wakati akina Butiku wakiwa ndiyo Private Secretary wa Rais, tunakumbuka alivyojenga himaya enzi zile. Butiku alikuwa very powerful kuliko hata Katibu Mkuu Kiongozi. Sasa akikumbukia enzi hizo lazima atakuwa nostalgic. Enzi zile zilikuwa za ujima ndiyo maana akina Butiku walimharibia mzee Nyerere mpaka akawa anaitwa Musa na mzee Haambiliki. Au Butiku amesahau jinsi alivyokuwa anapendelea watu wa kabila la kutoka Musoma ndiyo maana akina Warioba wakainukia. Enzi zile watu wa Musoma wakiitwa true Northerners. You had to come from true north to be given responsibilities especially sensitive ones kama jeshi, usalama wa taifa BOT n.k Kama hutoki huko hupewi cheo cha maana hata kidogo. Butiku amesahau hilo?
Enzi zile hazikuwa kama leo ambapo nchi imebadilika kiteknolojia kwa hiyo huwezi ukategemea JK afanane na Nyerere au Mwinyi. Akitaka kufanana hivyo mnamtaka awe Dikteta? Jk anasoma alama za nyakati na anajua anachopaswa kufanya. Tanzania ya leo yule Prosper Mbena amabye ni Private Secretary wa Rais JK au kabla yake yule David Jairo hawawezi kuwa powerful kama alivyokuwa Butiku. Why? Kwa sababu mazingira ya leo siyo kama yale akina Nyerere. Jamani miaka hiyo Butiku ndiyo aliekuwa anawapa watu vyeo.Ukitakata kuukata upewe cheo lazima ukalambe miguu ya Butiku na akukubali. Muulizeni Mhe. Kitine alivyopanda kutoka kuwa Major kule chuo cha Monduli na kufikia cheo cha Mkurugenzi
Mkuu wa Usalama wa Taifa. Badala ya kufanya kazi cheo kikampanda kichwani akawa anatembeza ubabe na starehe tu. Siku zile Radio moja TRD, Magazeti mawili Daily News la Serikali na Uhuru/Mzalendo la CCM. Kwa hiyo upuuzi wao ukawa hauandikwi. Isipokuwa zilikuwa zinadumishwa fikra za Mwenyekiti wa CCM.
Tanzania ya leo haiwezi kurudi huko. Ninawaomba hao wazee watulie waandike vitabu na wale pensheni zao. Wakijiingiza kwenye uharakati wa siasa pensheni zao zitaliwa na madalali wa kisiasa ambao wako wengi siku hizi. Tanzania ya leo ni ya dotcom. Wawaachie akina Nnape, Masha,Serukamba, Vita Kawawa, Mnyika, Mbowe na kizazi cha akina JK na Lowasa ndiyo wawe wana kongamano kwa nia ya kuipeleka nchi mbele.
Hebu angalia wale wazee kwenye kongamano lile. They are all spent forces. Hawana jipya. Mimi ningefurahi kama UDSM na vyuo vingine wangewatumia wazee hao kama wahadhiri ili wawafundishe vijana uzoefu wao.
La pili nielezee kongamano. Hilo kongamano mwanzoni nilifikiri limeitwa kwa ajili ya kuzungumzia mustakabali wa taifa within the context of the changing times and trends ndani ya utandawazi. Ah wapi Bwana kumbe ilikuwa ni mkusanyiko wa wazee ambao walikutana na kulia, kulalamika na kumlaumu kijana JK. Na wakaamua kumchapa Lowasa lakini hawakuwa na ujasiri wa kumtaja hata kwa jina. Basi wangemwalika ahudhurie. Sisi tunaoijua historia ya nchi yetu tunafahamu kuwa hao wazee ndiyo walioweka msingi mbovu wa utawala kiasi kwamba leo akina JK wanahangaika. Mimi ambaye Baba yangu alifanya kazi enzi za Nyerere wakati akina Butiku wakiwa ndiyo Private Secretary wa Rais, tunakumbuka alivyojenga himaya enzi zile. Butiku alikuwa very powerful kuliko hata Katibu Mkuu Kiongozi. Sasa akikumbukia enzi hizo lazima atakuwa nostalgic. Enzi zile zilikuwa za ujima ndiyo maana akina Butiku walimharibia mzee Nyerere mpaka akawa anaitwa Musa na mzee Haambiliki. Au Butiku amesahau jinsi alivyokuwa anapendelea watu wa kabila la kutoka Musoma ndiyo maana akina Warioba wakainukia. Enzi zile watu wa Musoma wakiitwa true Northerners. You had to come from true north to be given responsibilities especially sensitive ones kama jeshi, usalama wa taifa BOT n.k Kama hutoki huko hupewi cheo cha maana hata kidogo. Butiku amesahau hilo?
Enzi zile hazikuwa kama leo ambapo nchi imebadilika kiteknolojia kwa hiyo huwezi ukategemea JK afanane na Nyerere au Mwinyi. Akitaka kufanana hivyo mnamtaka awe Dikteta? Jk anasoma alama za nyakati na anajua anachopaswa kufanya. Tanzania ya leo yule Prosper Mbena amabye ni Private Secretary wa Rais JK au kabla yake yule David Jairo hawawezi kuwa powerful kama alivyokuwa Butiku. Why? Kwa sababu mazingira ya leo siyo kama yale akina Nyerere. Jamani miaka hiyo Butiku ndiyo aliekuwa anawapa watu vyeo.Ukitakata kuukata upewe cheo lazima ukalambe miguu ya Butiku na akukubali. Muulizeni Mhe. Kitine alivyopanda kutoka kuwa Major kule chuo cha Monduli na kufikia cheo cha Mkurugenzi
Mkuu wa Usalama wa Taifa. Badala ya kufanya kazi cheo kikampanda kichwani akawa anatembeza ubabe na starehe tu. Siku zile Radio moja TRD, Magazeti mawili Daily News la Serikali na Uhuru/Mzalendo la CCM. Kwa hiyo upuuzi wao ukawa hauandikwi. Isipokuwa zilikuwa zinadumishwa fikra za Mwenyekiti wa CCM.
Tanzania ya leo haiwezi kurudi huko. Ninawaomba hao wazee watulie waandike vitabu na wale pensheni zao. Wakijiingiza kwenye uharakati wa siasa pensheni zao zitaliwa na madalali wa kisiasa ambao wako wengi siku hizi. Tanzania ya leo ni ya dotcom. Wawaachie akina Nnape, Masha,Serukamba, Vita Kawawa, Mnyika, Mbowe na kizazi cha akina JK na Lowasa ndiyo wawe wana kongamano kwa nia ya kuipeleka nchi mbele.
Hebu angalia wale wazee kwenye kongamano lile. They are all spent forces. Hawana jipya. Mimi ningefurahi kama UDSM na vyuo vingine wangewatumia wazee hao kama wahadhiri ili wawafundishe vijana uzoefu wao.