PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Kuna familia moja hapa niishipo ndoa yao imevunjika baada ya mwanamke kukuta pieces 2 za kondomu ndani ya suruali ya mume wake. Hadi sasa ni mwezi mmoja umepita tokea kizungumkuti hicho kitokee. Juhudi za kusuluhisha tatizo hilo zinaendelea nami nikiwemo, lakini bado mke hajaridhia kurudi. Je, wanaJF huu ni wivu au ni umakini wa mwanamke ndani ya ndoa yake??? Nawasilisha!!! Karibu!!!