Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Huyo mwanamke anatakiwa kupimwa akili.... kukuta kondom kwenye suruali ya mumewe ni jambo moja na kutembea nje ya ndoa ni jambo jingine. ni mambo tofauti hayo....LABDA ALIWEKEWA MFUKONI. amtende haki mumewe banaaa..:angry: