Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
kumbe nkajua kitu mupyaMh! hizo ni salaama zenye harufu mbalimbali wakazita 3 bomba.
kumbe nkajua kitu mupyaMh! hizo ni salaama zenye harufu mbalimbali wakazita 3 bomba.
hii almost kila mtu ametumia..labda kwa ambao hawajaanza hii michezoRough rider
kwaajili ya kulia ndogo ama?
KhaaNASIKIA UKIPAKA PILIPILI KWENYE UUME UNAZUIA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA ZINAA
Anapiga kwapaniHahaaa!!!! Hongera zako,sasa wife akiwa siku za hatari inakuwaje
Sawa mister mandomRough Rider = kwa ajili ya kuongeza msuguano, ina vijipele (Studied) Kwa nje, inampa Raha zaidi mwanamke kuliko mwanaume
Bare Back = hii ina ngozi nyembamba sana kiasi kwamba ikitumiwa
Inakuwa kama haujavaa kitu (bahati mbaya hazionekani Madukani) hii huwapa raha pande zote mbili, yaani mwanamke na mwanaume.
Wet N' Wild = hii ni Kondom kwa ajilinya wanawake wanaokauka haraka, wanawake ambao hawana uwezo wa kulowa vizuri wakati maandalizi, imepakwa extra lubricant.
Lakini zote hizi upate origin kutoka kwenye viwanda vyake halisi, baadhi yake huwa nahisi huenda ubora wake umekuwa Compromised.
Magonjwa huogopi mkuu?Sisi masheikh hatutumii. Sisi ni wazee wa Dry
JD pharmacy ipo wapiTajaribu hizo bareback, najua ndio hadi uende Pharmacy kubwa kubwa sio za Uswazi kwetu Kongowe ya Mbagala huku.
Hii naiendea JD pharmacy
Nimejifunza kitu apa HahahahaMnyama BULL hii kitu uipate Org, aisee unaweza ikagua ukihisi labda ishachanika maana ni noma sana.
Hahaaa!!!! Hongera zako,sasa wife akiwa siku za hatari inakuwaje
Bei gani? Bongo zipo?Jaribu hizi mkuuView attachment 805306
Mambo yoteRough rider ndo suluhisho
Mkuu bareback ulizipata?Tajaribu hizo bareback, najua ndio hadi uende Pharmacy kubwa kubwa sio za Uswazi kwetu Kongowe ya Mbagala huku.
Hii naiendea JD pharmacy
Sijafanikiwa, nimejaribu pharmacy pale Mlimani city ila nikaambiwa zimeisha. Zimekuwa adimu eti. Ila ntazizungukia posta.Mkuu bareback ulizipata?
Hamna Mimi mwenyewe nimekuwa nikizitafuta muda mrefuSijafanikiwa, nimejaribu pharmacy pale Mlimani city ila nikaambiwa zimeisha. Zimekuwa adimu eti. Ila ntazizungukia posta.
Kuna chimbo umeziona nini??
Zinapatikana wapi?KAMASUTRA nazo ni nzuri sana kwanza ni nyembamba halafu ribbed yani zina mistari kama bolt. So ukiivaa mkuyenge unakuwa kama bonge la bolt.