Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Mambo hayo ni:
(i) Matamanio ya mwanaume dhidi ya mwanamke wa aina fulani. Kibaiolojia kila mwanaume yuko tayari wakati wowote kushiriki tendo la ndoa na mwanamke wa aina yoyote ile ukilinganisha na mwanamke
Ingawa mwanaume yu tayari kufanya mapenzi na mwanamke yeyote yule, kuna aina ya wanawake ambayo humfurahisha na kuumudu uhai wa tendo hilo, pia kuna aina ya wanawake ambayo mwanaume akifanya nao mapenzi hatolifurahia, ama tendo halitompatia starehe / pumziko ambalo ametegemea
Macho ya mwanaume huvutiwa na mwonekano fulani wa mwanamke, hapa kila mwanaume huwa na mwonekano anaoupendelea. Wengine hupendelea sura nzuri ya mwanamke, wengine hawana haja na sura, bali hutazama choo, wengine hawana haja na choo, bali hupendelea u-modal wa mawanamke, wengine hawajali yote hayo hupendelea wanawake vifutu. Utamu wa tendo hunoga zaidi kutokana na kategoria ya mwonekano wa mwanamke husika
Kingine ni katika suala zima la tabia, matamshi na namna matamshi yanavyotamkwa na mwanamke husika. Kuna wanaume ambao wakianza kisikia neno Hela kwenye mdomo wa mwanamke hata kama awe anazungumza na jirani, mwili wote hufa ganzi, mfano mimi. Kuna wanaume ambao wakisikia sauti ya kukalipiwa inapoteza matamanio. Mfano Lafudhi ya Kikurya kutoka kwa mwanamke. Wengine hawapendezwi na wanawake ambao wamelegea sana kwenye matamshi i.e Sexual Talking, kwa kuhofia kupigwa na vitu vizito kichwani
Mambo mengine manne ambayo nimekosa muda wa kuyachambua ni haya yafuatayo:
(ii) Ugumu na ubishi wa mwanamke katika kumshawishi umvue kyupi muwapo kwenye chumba cha mizagamuano
(iii) Uchojoaji wa nguo za mwanamke hasa hasa during First Dating Sex, na hii ndio sababu kuu ya mapenzi ya awali kuwa matamu kuliko penzi kuu kuu
(iv) Sauti za mahaba kutoka kinywani mwa mwanamke i.e ukelele, mayowe ama kilio
(v) Mnyumbuliko na mwondoko wa mwili wa mwanamke. Yaani mwanamke ambaye mwili wake unakwenda sambamba na mwondoko wa mkuyenge, pia mwili wenye kukubali mikao tofauti ya tendo, mwanamke asiye msumbufu ama mlalamishi katika suala zima la matumizi sahihi ya muda kiumeni
Nakaribisha Maswali...
(i) Matamanio ya mwanaume dhidi ya mwanamke wa aina fulani. Kibaiolojia kila mwanaume yuko tayari wakati wowote kushiriki tendo la ndoa na mwanamke wa aina yoyote ile ukilinganisha na mwanamke
Ingawa mwanaume yu tayari kufanya mapenzi na mwanamke yeyote yule, kuna aina ya wanawake ambayo humfurahisha na kuumudu uhai wa tendo hilo, pia kuna aina ya wanawake ambayo mwanaume akifanya nao mapenzi hatolifurahia, ama tendo halitompatia starehe / pumziko ambalo ametegemea
Macho ya mwanaume huvutiwa na mwonekano fulani wa mwanamke, hapa kila mwanaume huwa na mwonekano anaoupendelea. Wengine hupendelea sura nzuri ya mwanamke, wengine hawana haja na sura, bali hutazama choo, wengine hawana haja na choo, bali hupendelea u-modal wa mawanamke, wengine hawajali yote hayo hupendelea wanawake vifutu. Utamu wa tendo hunoga zaidi kutokana na kategoria ya mwonekano wa mwanamke husika
Kingine ni katika suala zima la tabia, matamshi na namna matamshi yanavyotamkwa na mwanamke husika. Kuna wanaume ambao wakianza kisikia neno Hela kwenye mdomo wa mwanamke hata kama awe anazungumza na jirani, mwili wote hufa ganzi, mfano mimi. Kuna wanaume ambao wakisikia sauti ya kukalipiwa inapoteza matamanio. Mfano Lafudhi ya Kikurya kutoka kwa mwanamke. Wengine hawapendezwi na wanawake ambao wamelegea sana kwenye matamshi i.e Sexual Talking, kwa kuhofia kupigwa na vitu vizito kichwani
Mambo mengine manne ambayo nimekosa muda wa kuyachambua ni haya yafuatayo:
(ii) Ugumu na ubishi wa mwanamke katika kumshawishi umvue kyupi muwapo kwenye chumba cha mizagamuano
(iii) Uchojoaji wa nguo za mwanamke hasa hasa during First Dating Sex, na hii ndio sababu kuu ya mapenzi ya awali kuwa matamu kuliko penzi kuu kuu
(iv) Sauti za mahaba kutoka kinywani mwa mwanamke i.e ukelele, mayowe ama kilio
(v) Mnyumbuliko na mwondoko wa mwili wa mwanamke. Yaani mwanamke ambaye mwili wake unakwenda sambamba na mwondoko wa mkuyenge, pia mwili wenye kukubali mikao tofauti ya tendo, mwanamke asiye msumbufu ama mlalamishi katika suala zima la matumizi sahihi ya muda kiumeni
Nakaribisha Maswali...