Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,626
- 1,676
Hivi condom ndo nini vile
Mfuko wa kukusanya makopoHivi condom ndo nini vile
Ni laini sana?Mnyama BULL hii kitu uipate Org, aisee unaweza ikagua ukihisi labda ishachanika maana ni noma sana.
Wewe ngoma dry siyo bila kujali mgonjwa mkuuSiwezi kufanya dhambi 2 at per ,kuua na kuzini hizo Kitu Kwanza zinabana
Aisee tengeneza wireless condoms ili utamu uwe pale paleFursa hiyoooooooo!!!
Jamani natafuta mwekezaji ili tujenge kiwanda cha kondom za kisasa,soko lipo la kutosha sana maana wazinzi wapo kwa ajili yetu!!!
Akili za kuambiwa, changanya na za kwako!NASIKIA UKIPAKA PILIPILI KWENYE UUME UNAZUIA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA ZINAA
MmhEeenh
nimekumiss wit
Za msd si ndo zile zimeandikwa not for sale??Jaribu ya msd
HahahahahahaahahahhahaahaaZa msd si ndo zile zimeandikwa not for sale??
Dah sio ndom zile ni mifuko ya nylon heri tutumie kuwashia moto
Mmh broo wee muuuajiNASIKIA UKIPAKA PILIPILI KWENYE UUME UNAZUIA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA ZINAA
3bomba nazo sijui ziliishia wapi yani unabaki unanukia ndizi mwili mzima duh hadi mtaa mzima watajua umecharangwa
Hapa kuna tatizo unamaanisha siku za hatari ni wakati ke akiwa anableed? Hii ni moja ya sababu ya mimba zisizotarajiwa. Mkuu siku za hatari ni zile ambazo mwanamke anaweza kupata mimba!!Kwani ana bleed kila siku???