KONDOMU IKAPASUKA

KONDOMU IKAPASUKA

Ilipasuka wakati risasi zinatoka! Sipati picha hiyo velocity ilikuwaje😀
Kama wakati wa kupokea mzigo macho yaligeuka juu jiandae kuwa baba kijacho.. Lakini kama yaligeuka chini kapime😅!. Ila kama yaligeukia pembeni hiyo ni offside!
Aligeuka juu ananitazama usoni na kusema huku ana tabasamu kwamba KONDOMU imepasuka, nikaona duuh imepasuka kuangalia hivi kweli imepasuka, sikufichi nilishtuka ila yeye ana tabasamu na sura ina furaha wakati mimi najua nishafanya balaa maana najua hii itakua ni mimba
 
Master Legendary naona umempa njia za kiasili kabisa hapo juu, kama yaliyomo yamo!!

Hivi huwa zinapasuka kweli? Ndio maana situmii! Au mwamba alikuwa anabaka?

Anaamini science lakini anaogopa mimba…
Huwa zinapasuka kweli brother!
1. Kutokana na mikito ya kibabe mpaka kukausha vilainishi kikaangoni
2. Kiranga cha mpinzani huku bakuli likiwa na vipele kama chujio la bati kwa nyuma
3. Ubora unaoshindwa kuhimili mshindo wa risasi😀 kitu kinatoka unashangaa umebakiwa na rubber band😂
 
Aligeuka juu ananitazama usoni na kusema huku ana tabasamu kwamba KONDOMU imepasuka, nikaona duuh imepasuka kuangalia hivi kweli imepasuka, sikufichi nilishtuka ila yeye ana tabasamu na sura ina furaha wakati mimi najua nishafanya balaa maana najua hii itakua ni mimba
New user ID VERBOSE baba kijacho 😂💪🏿
 
Back
Top Bottom