Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,552
Reaction score
61,884
Ukiona mtu amebeba mimba unaweza Tu kuhisi imepatikana kirahisi rahisi,.

Kuna ambao wanapata kirahisi Tu chap tena wengine bila hata kutarajia imo,.
Ila kuna ambao kutafuta Mtoto IPO ndani ya mpango na mimba isipatikane..

Heading: Kutafuta Mtoto sio KAZI nyepesi ( ni typing error )
 
Ni kweli kabisa, swala la kupata mimba kwa siku hizi limekua complicated kwa baadhi ya couples, na swala la Hormone imbalance lmetawala sana kwa wanawake kipindi hiki
Nna rafiki yangu alifunga ndoa mwaka 2020, mpaka leo hawajabahatika kupata mtoto, yeye na wife wake wana maisha mazuri sana Mungu kawabariki ila mtoto imekua issue sana
 
Back
Top Bottom