Umofia kwenu wakuu.
Nipo hapa kusaka maarifa juu ya masuala ya music system,nimejaribu kuchimbua kila kona ili niwe na uelewa clear kabisa lakini nilichoambulia sijaridhika nacho nikaona nibishe hodi hapa maana hii kitu naimani inahitaji kujifunxa kwa wazoefu.
Ndoto yangu ni kumiliki music system kwa ajili ya kibiashara kwenye matukio kama harusi kwenye kumbi,hivyo mapema kabisa nataka kupata elimu juu ya kipi kinahitajika kwa ukubwa gani na brand ipi ni imara.
Kwa kifupi nimeona kunahitajika vitu kama SPIKA ZA BASS
SPIKA ZA MID
AMPLIFAYA
MIXER
Je,kuna kipi zaidi kibahitajika hapo na kwa mlinganyo upi unaofaa kwa vipimo vya ukubwa wake ili system iwe ya kiwango kizuri?
NAWASILISHA
Nipo hapa kusaka maarifa juu ya masuala ya music system,nimejaribu kuchimbua kila kona ili niwe na uelewa clear kabisa lakini nilichoambulia sijaridhika nacho nikaona nibishe hodi hapa maana hii kitu naimani inahitaji kujifunxa kwa wazoefu.
Ndoto yangu ni kumiliki music system kwa ajili ya kibiashara kwenye matukio kama harusi kwenye kumbi,hivyo mapema kabisa nataka kupata elimu juu ya kipi kinahitajika kwa ukubwa gani na brand ipi ni imara.
Kwa kifupi nimeona kunahitajika vitu kama SPIKA ZA BASS
SPIKA ZA MID
AMPLIFAYA
MIXER
Je,kuna kipi zaidi kibahitajika hapo na kwa mlinganyo upi unaofaa kwa vipimo vya ukubwa wake ili system iwe ya kiwango kizuri?
NAWASILISHA