Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,721
- 45,129
Team Argentina gonga like hapa tujuane
Mwaka huu Senegal lazima wachukue Kombe la dunia
Pamoja sana kamanda wangu, huwa nakuelewa sana....Team Argentina gonga like hapa tujuane
Kundi la Morocco sasa sijui kama watatoboa hawa ndugu zetu waliowahi ikataa African Union
Mkuu umemaliza, Qatar hashindi hata mechi moja. Kwa mara ya Kwanza kombe la dunia mwenyeji anamaliza mechi zake zote bila kusuluhu Wala ushindi. AibuAfrika itaushangaza ulimwengu
1)Kwa mara ya Kwanza timu kutoka Afrika itafika nusu fainali
2)Mwenyeji atamaliza wa mwisho kwenye kundi lake
3)Kuna timu itapigwa bao 8+
🏌️🏌️🤼