Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Sitaisahau Jan, 5 nilipokoswa koswa na Risasi za moto, Mabomu ya machozi na Virungu vya FFU nilipokuwa kwenye Maandamano ya kupinga Uchaguzi batili wa Meya wa Arusha. Sitaisahau pia ile siku niliyoacha shughuli zangu zote na kwenda kwenye mazishi ya tulioamini ni mashujaa waliokufa wakitetea haki ya wananchi wa Arusha. Tuliimba nyimbo nyingi za kishujaa bila kujali manyunyu ya mvua yaliyokuwa yakitudondokea na kufuatia na jua kali likituchoma. Tulikusanyika kuanzia saa mbili asubui lkn viongozi