Vipi Lipumba naye kaitwa? au naye ameshawekwa lasmi kwenye kundi la CCMWanakutana kwenye hotel ya Mt Meru...Viongozi wa kitaifa ni pamoja na Freeman Mbowe na Dr W. Slaa......
kwani Lipumba ni CDM? si ni CCM BVipi Lipumba naye kaitwa? au naye ameshawekwa lasmi kwenye kundi la CCM
kazi ni ngumu kweli kweli maana mtu ambae alishazoea kutafuna minofu kwa miaka 50 leo akiona kuna mtu anataka kupokonya atatumiamarifa yake yote kupambana na wewe....lakini kwenye bold sijakusoma mkuu....Kazi bado ngumu, tusichekelee kwani ndio kwanza tunavunja pori
sina uhakika kama ni yakibinafsi au ya kiserikali lakini kwa taarifa nilizo zipata ni kuwa hata balozi wa ujerumani anae alikuwepo hii inaashiria ni swala la kiserikali...Upande wa CHADEMA yupo pia Katibu wa Chadema Arusha, Mallah ambae ni mgombea meya jiji la ArushaNaomba kufahamishwa, huyo ex- presda upo hapa nchini kwa shughuli gani, na akiwa kama mtu binafsi au anawakilisha kundi fulani?
shukrani....
Subirini chama cha magamba watasema hizo ndizo nchi zinaifadhili chadema kuvuruga amani kwa maandamano. Hawa jamaa hawakosi hoja nyepesi. Mwaka huu lazima tuwakamue ...vi hata kwa nguvu. Go chadema, go Prezidaa wa ukweli Dr. Slaa,go Mbowe go.......kazi ni ngumu kweli kweli maana mtu ambae alishazoea kutafuna minofu kwa miaka 50 leo akiona kuna mtu anataka kupokonya atatumiamarifa yake yote kupambana na wewe....lakini kwenye bold sijakusoma mkuu....
Subirini chama cha magamba watasema hizo ndizo nchi zinaifadhili chadema kuvuruga amani kwa maandamano. Hawa jamaa hawakosi hoja nyepesi. Mwaka huu lazima tuwakamue ...vi hata kwa nguvu. Go chadema, go Prezidaa wa ukweli Dr. Slaa,go Mbowe go.......