Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Nawashangaa Watanzania mnabeba simu tatu halafu mnakataa kulipia kodi.
Hii kodi iwepo na nnaikubali kwa roho kunjufu kabisa.
Na hizo kampuni za simu zitashindwa hii kesi na kila zitakavyochelewesha kuanza kukata hii kodi ndivyo tutalimbikiza kodi na tutaumia sisi zaidi na wao watajichotea humohumo. Ni wajanja tu hao.
Serikali iwaambie kama wanahuruma sana na wananchi wapunguze bei zao kufidia hii kodi.
Na Mitanzania ijinsi tulivyo mingine itaingia kichwachwa na kuwaunga mkono hizi kampuni ambazo hazitazami maslahi ya Mtanzania zaidi ya bishara yao tu.
mawazo yako mazuri sana natamani nikutafute tuongee zaidi kwani watu wanaona raha kufanya anasi na kutwa anapigia simu wachezaji wake halafu anakataa kulipia kodi kamwe hawatafanikiwa.