JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
ktk kodi nilizokuwa sizipendi ni kodi ya kichwa na kodi ya baiskeli,yaani walikuwa wakikukosa ktk kodi ya kichwa basi baiskel watakudaka tu.
siku moja mwenzangu alizama majini na kupiga mbizi baada ya mgambo kutaka kumdaka na uzuri mgambo wale walikuwa na maviatu mazito ikawawia ngumu kuingia majini
mkuu umenikumbusha kodi ya baiskeli, jamaa walikuwa wakisimamisha baiskeli kwa kunyosha mkono juu kama trafiki anavyosimamisha gari, ole wako ukutwe hujabandika kale kanembo, viboko vitakuandama.