alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,713
- 12,230
We wa wapi? Black mamba huyo,cobra ni mweusi sana,NAT GEO WILDhuyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
We wa wapi? Black mamba huyo,cobra ni mweusi sana,NAT GEO WILDhuyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
Wapo aina tatu akiwamo huyo green mamba,ila aina hii ni hatari zaidi,Africa nzima,anaweza ua watu40 ndani ya dakika 20 tu!kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli
Kwa hiyo, yeye akikuona tu anaanza mashambulizi??Green mamba huyo. Pia Ana sumu kali ila Green mamba sio balaa Kama black mamba. Black mamba huogopewa sana kwa sababu ana spidi balaa, anang'ata zaidi ya Mara Moja na pia ni mpenda vurugu sana. Nyoka wengi mkikutana first instinct huwa ni kutoroka n'a watakuvamia tu iwapo watahisi wamo hatarini. Black mamba ni tofauti hapo.
Ana uwezo wa kusikia na kuona mbali na anapenda changamoto so akikuona anakufuata kuku-challenge sasa hana kiasi akifika anakugonga anaondoka,wahanga wakubwa wa Koboko ni wafugaji na mifugo yenyewe.ila Mungu anatukinga hawakai sehemu isiyo na misitu mikubwa ndiyo maana sio rahisi kuwaona ila kuna wakati wanafika kwenye makazi ya watu hasa zile sehemu zenye mf:miwa&mikahawa na humu hufuata panya.Kwa hiyo, yeye akikuona tu anaanza mashambulizi??
!Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Weusi kwenye mdomo mkuu kwa ndani, nje anaweza kuwa rangi ya kawaida tuSio huyo mkuu,mwenyewe ni mweusi tii
Huyo mzee lazima atakuwa Mnyamwezi maana huko hao nyoka wanawaona kama mjusi tuHuyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
huyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
Kuna vikitu vinaitwa Meerkats wanamla koboko kama supu ya kongoro na chapati na ka pilipili kwa mbaaliWanakuambia kutana na simba utakimbia na juu ya mti utapanda but hiki kiumbe kukikimbia ni ndoto,hatari zake kuu zinazotambulika ni nyegere(honey badger)na mioto ya msituni si zaidi ya hapo labda ajifie mwenyewe au auawe na mwenzake.
Duu rangi ya kawaida ni ipi wajameni ?Weusi kwenye mdomo mkuu kwa ndani, nje anaweza kuwa rangi ya kawaida tu
Green mamba na Bkack Mamba wanatofautiana kitu kimoja.Black Mamba mara nyingi huwa shy na huepuka migongano /confrontation na binadamu na viumbe vyengine na hivyo hutokea mara chache kugonga mtu wakati Green Mamba wao ni wepesi katika kupambana/kuwa na confrontation na binadamu
Hajachanganya yuko sahihi kabisa.Umechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
Brown lakini pia kuna jamii ya black mamba wa kijani.Duu rangi ya kawaida ni ipi wajameni ?