Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Ahsante kwa ufafanuzi nilikuwa nimedownload tu kuonyesha rangi ya nyoka wengi hata wale wa uswahili wanavyofanana kulingana na comment ya mdauHuyu ni Puff Adder...
Ahsante kwa ufafanuzi nilikuwa nimedownload tu kuonyesha rangi ya nyoka wengi hata wale wa uswahili wanavyofanana kulingana na comment ya mdauHuyu ni Puff Adder...
Mziki wake sio simba,Faru John ita utakavyo wanamuachia himaya wanatimka....binadam ukikazingua kama mwanaume kanakimbilia haya maeneo yakutafutia heshima nyumbani.hakafai aisee huyu koboko kanamla kuanzia kichwani pamoja na sumu zake zote.
hapa akimalizana na nyoka,status yake hatari sana.
Umechanganya habari brother.... black mammba huwa hatanui shingo....
Only cobra do that....
Sawa.Siku ingine usirudie kucopy na kupaste
Leta huo ushahidi wa eatv mkuuHuyu ametoa kwenye page ya EATV ya fb ndio maana hajui alichokiandika
Na hupenda sana kula bangi walipopanda ganja kama ni porini Tegemea kuwakuta.Ana uwezo wa kusikia na kuona mbali na anapenda changamoto so akikuona anakufuata kuku-challenge sasa hana kiasi akifika anakugonga anaondoka,wahanga wakubwa wa Koboko ni wafugaji na mifugo yenyewe.ila Mungu anatukinga hawakai sehemu isiyo na misitu mikubwa ndiyo maana sio rahisi kuwaona ila kuna wakati wanafika kwenye makazi ya watu hasa zile sehemu zenye mf:miwa&mikahawa na humu hufuata panya.
Chunya mpaka huku itigi pori la Rungwa Game Reserve kama makao makuu yao Hawa nyokaSio swila hao? Chunya ndo wapo sanaaaa
Mkuu Rohombaya labda kama unawazungumiza hawaDah.. Siyo kwa mambas... Uamuzi wa kwanza wa black mamba akikutana na binadamu ni kutimua mbio.... Labda awe amebanwa kwenye kona....na hutoa sauti ya kufoka kabla hajashambulia...ukweli bado unabakia. . Binadamu ndiyo kiumbe Hatari kuliko vyote
Black Mamba siyo mweusi kabisa....Sio huyo mkuu,mwenyewe ni mweusi tii
Umeongea kinyumeGreen mamba na Bkack Mamba wanatofautiana kitu kimoja.Black Mamba mara nyingi huwa shy na huepuka migongano /confrontation na binadamu na viumbe vyengine na hivyo hutokea mara chache kugonga mtu wakati Green Mamba wao ni wepesi katika kupambana/kuwa na confrontation na binadamu
NifundisheNyegere ni hatari sn
Nyoka wengi wanatanuaHuyu anayetanua shingo ni cobra check on YouTube
Upo kakaKabisa bro umeongea ukweli
Absolutely correctjina "Black Mamba" linatokana na uweusi uliopo ndani ya mdomo wake, na siyo kwamba yeye ni mweusi kwa rangi.
Rudi shule uliyosoma ukawadai wakurudishie hela yako ya adaBlack mamba si ndio crocodile wakuu?
Ahsante Kiongozi.Sio swila hao? Chunya ndo wapo sanaaaa