Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
uyo mzee alikuwa anapoteza muda....huko kijiji cha Mswaa korogwe izo shughuli zinafanywa na watoto wa shule ya msingi wanacheza nae mpaka wanamkamata na kumuua.
 
Huyu black mamba kwetu anaitwa kigong'oto, akiingia ndani ya nyumba huwa anagonga kila kilicho mbele take sasa akiingia kwenye kabati asubuhi mtahesabu hasara kubwa sana maana huwa haachi chombo cha udongo haya kimoja kikiwa salama.
 
Green mamba na Bkack Mamba wanatofautiana kitu kimoja.Black Mamba mara nyingi huwa shy na huepuka migongano /confrontation na binadamu na viumbe vyengine na hivyo hutokea mara chache kugonga mtu wakati Green Mamba wao ni wepesi katika kupambana/kuwa na confrontation na binadamu

KINYUME!
 
Yupo nyoka mweusi Buti ama. Mwembamba, siyo mnene kama huyo kwenye picha.
Nyoka mweusi ti
Labda ndiyo black mamba.
Nyoka weusi wembamba wapo wengi sana kule.
Jioni Giza linapoingia ukiwasha taa, ukiacha mlango wazi, nyoka atafika upesi sana.
Kulikuwa na upenyo kwenye mlango nyoka wanaingia..
Sasa sijui kama wanapozunguka ndani ya nyumba dakika sitini wanakumbuka walikoingilia.
Nyoka wadogo wengi sana.
Halafu siku moja mchana saa name nimefungua mlango alikuwepo chatu pale anataka kunimeza.
Nimetazama makala ya wikipedia kuhusu python, sikuona kama kuna uelewa mzuri kama ch
atu anaweza kummeza mtu.
Katika wikipedia wanadhani chatu wanameza rodents tu.
Mimi sijamuona chatu hata siku moja, nashangaa kwa nini nyoka ameniona anakuja kama vile mimi sipo, kama vile mimi sio tishio.
Of course nyoka alikuwa na hofu moja tu, kwamba mimi nitaondoka.
Na ile spidi niliyokuwa nafikiria spidi ndogo ya nyoka probably ilikuwa kwa vile ile sakafu ilikuwa very rough.
Indeed ni bora kusema nyoka alinihurumia kuliko kusema kwamba nilitoroka.
Hueleweki,tengeneza maelezo yako vzr
 
Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua

lete story
 
Huyu ni aina ya nyoka anayeweza kushambulia kwa hasira kali, uwezo wa kukimbia ni mkubwa Sana, hadhari kubwa inatakiwa unapovinjari maeneo hatarishi
 
Kwa hiyo, yeye akikuona tu anaanza mashambulizi??
Dah.. Siyo kwa mambas... Uamuzi wa kwanza wa black mamba akikutana na binadamu ni kutimua mbio.... Labda awe amebanwa kwenye kona....na hutoa sauti ya kufoka kabla hajashambulia...ukweli bado unabakia. . Binadamu ndiyo kiumbe Hatari kuliko vyote
 
Duu rangi ya kawaida ni ipi wajameni ?
Nyoka wengi wanaopatikana Tanzania huwa na rangi kama ya khaki flani (hivyo nilichukulia kama rangi ya kawaida angalia picha hapo). Au kwa maana nyingine rangi yoyote ile na si nyeusi kama alivyosema mdau niliomjibu
 

Attachments

  • snake.jpg
    snake.jpg
    73.6 KB · Views: 201
Back
Top Bottom