silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,348
- 1,982
Huyo wa kijani naye ni jamii wa black mamba. Asilimia kubwa ni wa brown.kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli
Huyo wa kijani naye ni jamii wa black mamba. Asilimia kubwa ni wa brown.kuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli
Cobra hana urefu kama huo.huyu ni cobra na si black mamba.......bro unafanyia wapi tafiti zako bro.
Sio swila hao? Chunya ndo wapo sanaaaaWataalam wa Nyoka, naomba mnisaidie.
Eti kuna jamii ya Nyoka wao wanagonga Utosi wa Binaadam!
Eti nasikia wanajiviringisha Mkia kwenye Mti na kisha wanasubiri Mtu apite, Mtu akipita anga zao wanagonga Utosi
Ndio hao wa chunya wapo pori la mbangalaSio swila hao? Chunya ndo wapo sanaaaa
uyo mzee alikuwa anapoteza muda....huko kijiji cha Mswaa korogwe izo shughuli zinafanywa na watoto wa shule ya msingi wanacheza nae mpaka wanamkamata na kumuua.Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Green mamba na Bkack Mamba wanatofautiana kitu kimoja.Black Mamba mara nyingi huwa shy na huepuka migongano /confrontation na binadamu na viumbe vyengine na hivyo hutokea mara chache kugonga mtu wakati Green Mamba wao ni wepesi katika kupambana/kuwa na confrontation na binadamu
Hueleweki,tengeneza maelezo yako vzrYupo nyoka mweusi Buti ama. Mwembamba, siyo mnene kama huyo kwenye picha.
Nyoka mweusi ti
Labda ndiyo black mamba.
Nyoka weusi wembamba wapo wengi sana kule.
Jioni Giza linapoingia ukiwasha taa, ukiacha mlango wazi, nyoka atafika upesi sana.
Kulikuwa na upenyo kwenye mlango nyoka wanaingia..
Sasa sijui kama wanapozunguka ndani ya nyumba dakika sitini wanakumbuka walikoingilia.
Nyoka wadogo wengi sana.
Halafu siku moja mchana saa name nimefungua mlango alikuwepo chatu pale anataka kunimeza.
Nimetazama makala ya wikipedia kuhusu python, sikuona kama kuna uelewa mzuri kama ch
atu anaweza kummeza mtu.
Katika wikipedia wanadhani chatu wanameza rodents tu.
Mimi sijamuona chatu hata siku moja, nashangaa kwa nini nyoka ameniona anakuja kama vile mimi sipo, kama vile mimi sio tishio.
Of course nyoka alikuwa na hofu moja tu, kwamba mimi nitaondoka.
Na ile spidi niliyokuwa nafikiria spidi ndogo ya nyoka probably ilikuwa kwa vile ile sakafu ilikuwa very rough.
Indeed ni bora kusema nyoka alinihurumia kuliko kusema kwamba nilitoroka.
Hahahahaa! Huyu mnyama ni mbabe hatari, Na angekua Na umbo kubwa sijui angekuwaje!Nyegere ni hatari sn
Angekuwa na umbo kubwa angekuwa mpole, usisahau kwamba ukorofi ni matunda ya 'inferiority complex'!Hahahahaa! Huyu mnyama ni mbabe hatari, Na angekua Na umbo kubwa sijui angekuwaje!
Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Huyu ni hatari sana ila huku kwetu kulikuwa na mzee alikuwa anaitwa Magwisha alikuwa mtaalam wa kupambana na hawa nyoka alikuwa anakata mabapa ya katani kama 20 anajizatiti kwa kujifunga magunia mwili wote anabakiza macho kwa mbali anaingia chimbo kumtimua koboko anakuwa anamrushia yale makatani anayagonga yanakuwa kama yameungua moto zoezi linaendelea mpaka katani ya mwisho koboko anakuwa kachoka sana mzee Magwisha anaingia mzima kupambana naye mpaka anamuua
Hugo in green mamba wapo wengi sehemu za mikumikuna black mamba ambaye sisi tunamwita nyoka wa kijani na ni wa kijani kweli
Dah.. Kuna aina karibu 30 za cobra.. King, Egyptian, Chinese, Indian etc... Kuna warefu, wanene, wafupi nk... Tujiongeze tuCobra hana urefu kama huo.
Dah.. Siyo kwa mambas... Uamuzi wa kwanza wa black mamba akikutana na binadamu ni kutimua mbio.... Labda awe amebanwa kwenye kona....na hutoa sauti ya kufoka kabla hajashambulia...ukweli bado unabakia. . Binadamu ndiyo kiumbe Hatari kuliko vyoteKwa hiyo, yeye akikuona tu anaanza mashambulizi??
Hahahaaa, sure mkuu, umenikumbusha juu ya watu wafupi!Angekuwa na umbo kubwa angekuwa mpole, usisahau kwamba ukorofi ni matunda ya 'inferiority complex'!
Get lost.Hueleweki,tengeneza maelezo yako vzr
Nyoka wengi wanaopatikana Tanzania huwa na rangi kama ya khaki flani (hivyo nilichukulia kama rangi ya kawaida angalia picha hapo). Au kwa maana nyingine rangi yoyote ile na si nyeusi kama alivyosema mdau niliomjibuDuu rangi ya kawaida ni ipi wajameni ?
Huyu ni Puff Adder...Nyoka wengi wanaopatikana Tanzania huwa na rangi kama ya khaki flani (hivyo nilichukulia kama rangi ya kawaida angalia picha hapo). Au kwa maana nyingine rangi yoyote ile na si nyeusi kama alivyosema mdau niliomjibu