kama ni mwanaume, unamwacha anafanya maamuzi, na kadi za benk na passwedi unampa lakini hivi vivulana vilivyojaa mjini, wala hata hukishirikishi, unakifanya kama kitoto cha kufikia kula kulala.
kama ni mwanaume, unamwacha anafanya maamuzi, na kadi za benk na passwedi unampa lakini hivi vivulana vilivyojaa mjini, wala hata hukishirikishi, unakifanya kama kitoto cha kufikia kula kulala.
Hii nayo ni kali asee!Wanawake bana kumbe mnajivinjari hata na vivulana!
Being the head of household doesn't mean that you're a final decision maker.
ktk maisha ya ndoa ukianza kuweka tofauti za mali kati ya mume na mke,ndio matatizo yanapoanziaga hapo. Ni kweli mwanaume ni kichwa cha nyumba lakini hii haimaanishi ndio kuwa muamuzi wa mwisho ktk mambo fulani. Mumu na mke wanapaswa kujadili kwa pamoja kwa upendo na kwa manufaa ya wote. Kuwa kichwa msikutafsiri vibaya jamani
Kaka mkubwa ODM unoana mjukuu wako anabana hapa......Itabidi tuandae convoy tukaongee naye vizuri, si unajua vizuri gharama lol (Canta hebu fanya mambo bwana...Mimi roho mtaka vitu ashanidondokea hapa)Haaaa haaa haa,
Bahati mbaya sina simu wala email!
Tumtumie roho mtakatifu kwa mawasiliano lol!
Kaka mkubwa ODM unoana mjukuu wako anabana hapa......Itabidi tuandae convoy tukaongee naye vizuri, si unajua vizuri gharama lol (Canta hebu fanya mambo bwana...Mimi roho mtaka vitu ashanidondokea hapa)
Haaa haaa haaa,Teh,teh,teh,teh,jamaa ndoano yake imekuja na mjusi badala ya fish!
Why not,nitaweza bwana!Hawa wana asili ya Banian wali pilipili kama mboga,utaweza?
Haaa haaa haaa!Kwa ninavyomjua Canta labda umchukue Michelle Obama akakupigie debe!
Haaa haaa haaa,Kaka mkubwa ODM unoana mjukuu wako anabana hapa......Itabidi tuandae convoy tukaongee naye vizuri, si unajua vizuri gharama lol (Canta hebu fanya mambo bwana...Mimi roho mtaka vitu ashanidondokea hapa)
Haaa haaa haaaa,Mh!Canta kama mjusi huwa fish,sijui atakua samaki wa aina gani,labda kamongo,na jamaa ni msabato sijui itakuaje!
Mkuu naona unaongea from experience lolKwa ninavyomjua Canta labda umchukue Michelle Obama akakupigie debe!
Hiyo username ndiyo mpango mzima, wewe unataka mwanaume wa aina..........(Nishapita kote, kwako ndio nafunga breki, yaani you know you are offered a chance to rule kingdom of my heart. Hapa lazima kieleweke)Haaa haaa haaa,
Ongea na babu vizuri,ila user name yako inajieleza haaa haaa!