Mukuru
Member
- Apr 14, 2009
- 40
- 0
Biashara ya utumwa ilifanyika miongo kadhaa iliyopita (inasemekana bado inafanyika baadhi ya maeneo duniani) na kusababisha watu weusi kuenea maeneo mbalimbali duniani mfano visiwa vya Carrebean, Amerika ya kusini, Marekani na kwingineko.
Nimesoma kuwa watumwa wengi kutoka Afrika Mashariki waliuzwa uarabuni lakini sijafanikiwa kupata maelezo ya uhakika iweje hakuna watu wenye asili ya afrika kama ilivyo maeneo mengine. Je, kizazi cha watumwa huko uarabuni kilifutika kabisa?
Naomba wana-JF walio na ufahamu wa suala hili mnifumbue macho.
Nimesoma kuwa watumwa wengi kutoka Afrika Mashariki waliuzwa uarabuni lakini sijafanikiwa kupata maelezo ya uhakika iweje hakuna watu wenye asili ya afrika kama ilivyo maeneo mengine. Je, kizazi cha watumwa huko uarabuni kilifutika kabisa?
Naomba wana-JF walio na ufahamu wa suala hili mnifumbue macho.