ni kukuonyesha kwamba yeye ni mkongwe hajaanza jana kazi......huu ni ujinga sawa na wa fundi Radio/Tv unakuta amejaza makorokoro chumba kizima....huyo sio fundi coz angekuwa fundi chumba kisingejaa!!
inawezekana kuna mahali huwa wanajaza kiwi, wakati wetu makopo ya 'YU' tulikuwa tukitumia kama 'compass' kwa pencil lazima ivunjwe mara tatu ili itoshe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.