Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
Nipatie namba ya jfpesa sasa hiviNauli 😈
Nipatie namba ya jfpesa sasa hiviNauli 😈
Na selcom tu mm😹💔Nipatie namba ya jfpesa sasa hivi
Habarini wana JF poleni na majukumu ya kila siku. Moja kwa moja ningependa kwenda kwenye maada kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni kijana mwenye familia ya mke na mtoto mmoja nayeendelea kupambana kila kukicha katika kibarua changu chenye malipo ya kawaida.
Nimekuwa napata shida kuamua katika jambo ambalo litafaa zaidi kwangu kuanza nalo kuendelea na hatua za mbele, kwa muda nimekuwa nikijikusanya kutafuta kiasi cha pesa ambacho nitakitumia kuanzisha biashara niliyoipanga kuanza nayo kama nitafanikiwa kufikia mtaji wa kuanza nao niliouona utatosha, wazo limekuwa siyo rahisi sana sababu kama mjuavyo maisha yetu ya kitanzania huwa hayajanyooka kwa kiasi hicho japo siyo kwa wote, unaenda hatua sita mbele changamoto inatokea unarudi tena hatua mbili nyuma.
Kiasi cha mtaji nlioupanga nishafikisha nusu mpaka sasa na nusu nyingine inaweza chukua si chini ya miezi mitano mbele.
Kuna muda nakuwa naona kama muda wa kufikia kiasi cha pesa lengwa unaweza ukaongezeka tofauti na malengo au nikapata changamoto mbele nikarudi nyuma zaidi ndiyo napata wazo labda ninunue kwanza kiwanja halafu malengo yangu nianze upya.
Hela iliyopo inaweza tosha kiwanja.
Ningependa kupokea ushauri kwa mtu aliyewahi pitia hii hali au kwa yeyote mwenye mawazo ya kujenga anisaidie kunipa uelekeo utakaofaa. Ahsanteni na karibuni
Kama kipato chako ni cha uhakika, hiyo hela uliyo nayo ifanye mtaji wa kuanzia. Anza biashara mdogo mdogo. Ukiona mwenendo wa biashara unaridhisha, tafuta Microfinance nenda ukope kiasi cha kujazilizia huo mtaji wako. Endelea na biashara huku unalipa mkopo na ukipata hela za ziada pia zitumie kulipa mkopo ili umalize mapema. Ukimaliza kulipa unakopa tena unapanua biasharaHela iliyopo inaweza tosha kiwanja.
Ningependa kupokea ushauri kwa mtu aliyewahi pitia hii hali au kwa yeyote mwenye mawazo ya kujenga anisaidie kunipa uelekeo utakaofaa. Ahsanteni na karibuni
Haina shida, sindikizia na kapichaNa selcom tu mm😹💔
😹😹💔Haina shida, sindikizia na kapicha
Mtumie nauli bibie Anastazia aje kura raha na hakikisha unatuma na ada ya kutolea kabisa.njooo upate maraha huku barabara ya 13
Huyo ni mjanja wa mjini, ukitaka upoteze mtaji, mruhusu akusogeleeMtumie nauli bibie Anastazia aje kura raha na hakikisha unatuma na ada ya kutolea kabisa.
Kweli?☺️🍑Nimegawa kwako💔🚮
😹😹Kweli?☺️🍑
😅😄Anakuchuna ngozi hadi minofu unabaki mifupa.Huyo ni mjanja wa mjini, ukitaka upoteze mtaji, mruhusu akusogelee
Ata jero sijapata 😞Mtumie nauli bibie Anastazia aje kura raha na hakikisha unatuma na ada ya kutolea kabisa.
😅😄Anakuchuna ngozi hadi minofu unabaki mifupa.Huyo ni mjanja wa mjini, ukitaka upoteze mtaji, mruhusu akusogelee
Dah vyeo vingine mbona kazi 💔Huyo ni mjanja wa mjini, ukitaka upoteze mtaji, mruhusu akusogelee
😹😹😹💔😅😄Anakuchuna ngozi hadi minofu unabaki mifupa.
Anakutazama kwenye hiyo avatar akifikiri wewe ni mshamba wa kijijini, kumbe huko madown ni hatari 😀Dah vyeo vingine mbona kazi 💔
Mjini shule, kilimo ni kijijini😅😄Anakuchuna ngozi hadi minofu unabaki mifupa.
😹😹😹😹😹😹😹😹🙌🏾 Kwaio nauli inakuajeAnakutazama kwenye hiyo avatar akifikiri wewe ni mshamba wa kijijini, kumbe huko madown ni hatari 😀