Kobaba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 492
- 341
IngabireKitone tu mtu anapata mimba. Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
IngabireKitone tu mtu anapata mimba. Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Umeona eeh, hapo unakuta anakazana nilimwaga nje nilimwaga nje. Na wenzake wa humu wanamjaza ujinga kwamba kuna baharia alimwaga ndani kabla yake.Itabidi topiki za Mfumo wa Uzazi darasa la 7 na Reproduction kidato cha 3 na 4 zifundishwe kwa undani zaidi. Juzi kuna baharia pia alileta uzi hapa akilalamika kuwa kabambikiwa mimba kisa eti alimwagia nje bao la kwanza halafu akarudi tena na kuunganisha bao la pili...
Acha kabisa, yaani kama yai limeshapevuka mimba inatunga ndani ya dakika kadhaa tu. Na P2 kazi yake ni kuchelewesha kupevuka kwa yai na sio kuharibu mimba iliyokwisha tungwa. Mara tu yai likishapevuka P2 haina kazi tena ni kusubiri kuitwa baba au mama.Ichi kitu kilinipata , akatumia p2 , kumbe yai lishapevuka p2 ikagoma, Nashukuru Mungu Sasa Nina mtoto,
Kwenda huko.Sikuwahi kujua we ni mtaalum hivi!
Watu na experience zenu..
Kusoma na ma experiment ya kutosha huimarisha mtu hongera..🤣Kwenda huko.
Kwenye hii sector mimi ni mtaalam kweli japo nilisoma sanaa.
Daaah wewe Una mamboKitone tu mtu anapata mimba. Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Mbona maexpirement hahahKusoma na ma experiment ya kutosha huimarisha mtu hongera..
Hata moja kamoja tuu kanatosha imradi ifike kwenye fallopian tube,Wakuu,
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba?
Nina maana endapo hujatumia kondom na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa kuchomoa uume na kiwango fulani kikaingia na kiwango fulani kikatoka nje.
Je kwa mazingira hayo yaweza pelekea mimba? Naomba kujuzwa
Mapacha je?Utonzi mzito wenye kujaah vijiko kimoja Apo mtoto atatoka na kilo 4.5 lknikiwa Toni tu tarajia kupata njiti
Wewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.Itabidi topiki za Mfumo wa Uzazi darasa la 7 na Reproduction kidato cha 3 na 4 zifundishwe kwa undani zaidi. Juzi kuna baharia pia alileta uzi hapa akilalamika kuwa kabambikiwa mimba kisa eti alimwagia nje bao la kwanza halafu akarudi tena na kuunganisha bao la pili...
Umejuaje mkuu yaani umewaza kama mimiHizi n dalili ya mtu kutaka kukimbia mimba. Wale jamaa mafundi wa kuogelea hivyo hata ukidondosha
kitone kisha mazingira yakawa safi ujue imoo hiyo, subiri kulea mimba kisha mwana. Hongera sana.
hahaha! nimecheka japo inasikitishaWewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.
Dah alijua wazungu ndo ukimwi wenyewe dah kashauza gridi uyoWewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.
DaaaahWakuu,
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba?
Nina maana endapo hujatumia kondom na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa kuchomoa uume na kiwango fulani kikaingia na kiwango fulani kikatoka nje.
Je kwa mazingira hayo yaweza pelekea mimba? Naomba kujuzwa.